Maswali 7 Dabi ya Kariakoo kuahirishwa

KITENDO cha Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Bara (TPLB) kutangaza kuahirisha mchezo wa Kariakoo Dabi kati ya Yanga na Simba, kimeacha maswali mengi na kuzua mijadala kuanzia mtaani hadi katika mitandao ya kijamii. Kabla ya TPLB kutoa taarifa ya kuahirishwa kwa mchezo huo jana saa 7:53 mchana, tayari Simba ilitoa tamko la…

Read More

Faida sita Tanzania kushika kijiti WHO hizi hapa

Dar es Salaam. Miongoni mwa maswali yanayozunguka vichwa vya wengi ni kuhusu namna ambavyo Tanzania itanufaika, ikiwa Mtanzania atapata nafasi ya kuwa Mkurugenzi wa kanda ya Afrika, Shirika la Afya Duniani (WHO). Ili kukutegulia kitendawili hiki, Mwananchi imekusogezea faida sita (6) zitakazoinufaisha nchi, iwapo mgombea aliyeteuliwa na nchi (Profesa Mohammed Janabi) atafanikiwa kushinda kiti hicho….

Read More

PSG wanaonekana kutaka kumsajili Ibrahima Konate wa Liverpool.

Wakati Ibrahima Konaté (25) ana furaha katika Liverpool FC, hata licha ya kuondoka kwa Jürgen Klopp, Mfaransa huyo amebakiza miaka miwili tu kwenye mkataba wake. Anaonekana kama fursa inayowezekana kwa vilabu vingi kote Ulaya, pamoja na Paris Saint-Germain, kulingana na ripoti kutoka L’Équipe.Mazungumzo kuhusu kuongeza mkataba wa Konate yamekuwa yakiendelea kwa miezi kadhaa. Liverpool wamesalia…

Read More

Pamba yaanza mabalaa, maandalizi Ligi Kuu Bara 2024\2025

Achana na shangwe la kupanda Ligi Kuu Bara linaloendelea jijini hapa, mabosi wa Pamba Jiji tayari wameshapata pa kuanzia wakati wakipiga hesabu za mambo watakayoanza nayo msimu ujao. Pamba Jiji imerejea Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi ya Championship ikivuna pointi 67 katika mechi 30, nyuma…

Read More