
NGO ya Kapuya yachunguzwa kwa ushoga
SERIKALI imeanza kuichunguza Taasisi ya Athuman Kapuya, dhidi ya tuhuma za usambazaji ushoga inazoikabili shirika hilo lisilo la kiserikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Taarifa ya uchunguzi huo imetolewa Leo tarehe 4 Juni 2024 na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, ikiwa ni siku Moja tangu Mkuu…