Wenye ulemavu waongezeka elimu ya juu, Shivyawata yasema…

Dar es Salaam. Kuimarika kwa huduma jumuishi kwa wanafunzi wenye uhitaji maalumu kumetajwa kuwa sababu ya ongezeko la wanafunzi hao wanaofika elimu ya juu nchini. Hilo limeenda sambamba na uwekezaji uliofanywa katika maeneo mbalimbali, hali inayochochea kuondoa ugumu wa ujifunzaji na vikwazo vilivyokuwapo. Takwimu za Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) zinaonesha kuwa idadi ya…

Read More

Hamdi achomoa mtaalamu Singida Black Stars

ALIYEKUWA Kocha mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi aliyepo Ismailia ya Misri, amemchomoa mtaalam mmoja kutoka timu aliyowahi kufanya nao kazi ya Singida Black Stars. Hamdi aliyeondoka Yanga mara baada ya kuwapa mataji mawili kwa mpigo ya Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho (FA), mbali na lile la Kombe la Muungano aliwahi kuinoa Singida kwa muda…

Read More

HATUA ZA DHARURA ZAENDELEA KUCHUKULIWA NA TANROADS MOROGORO KUREJESHA MIUNDOMBINU

Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro imewataka Wananchi wa Mkoa huo kuwa watulivi wakati Serikali ikiendelea kuchukuwa hatua za dharura kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja yaliyoharibika katika kipindi hiki cha mvua kubwa . Akizungumzia athari za mvua hizo tarehe 28 Aprili 2024; Meneja wa TANROADS Mkoa wa Morogoro Mhandisi Alinanuswe L. Kyamba…

Read More

Lomalisa atabiri jambo flani Yanga

UNAJUA nini kinaendelea Jangwani? Kwa mashabiki wa kikosi cha Yanga wanaambiwa kwamba watarajia vitu vingi vitakavyowapa vaibu la kutosha msimu ujao, huku kukiwa na vyuma vya maana tu ambavyo vimeshaanza kujifua ili kutetea ubingwa wa mashindano mbalimbali. Ni katikati ya vaibu la tizi linaloendelea hapo ndipo ilipo siri nyingine ambayo ya mafanikio ya chama hilo…

Read More

Kinana ajiuzulu Makamu Mwenyekiti CCM, Rais Samia aridhia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 29 Julai mwaka huu na…

Read More

Zaidi ya watu 70 wameuawa DR Congo, wakiwamo wanajeshi tisa

DR Congo. Zaidi ya watu 70 wakiwemo wanajeshi tisa wameuawa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo baada ya watu wenye silaha kushambulia Kijiji cha Kinsele kilichopo kilomita 100 kutoka Mji Mkuu Kinshansa. Mauaji hayo yalitokea Jumamosi Julai 15, 2024 huku miundombinu mibovu ikitajwa na Mbunge wa Jimbo la Kwamouth, David Bisaka kuwa chanzo cha taarifa hiyo…

Read More

Ateba afichua siri ya Che Malone Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Lionel Ateba amemtaja beki wa timu hiyo, Che Fondoh Malone kama mtu aliyechangia kwa kiasi kikubwa kuzoea haraka maisha ya ndani na nje ya uwanja baada ya kujiunga na klabu hiyo. Ateba amejiunga na Simba katika dirisha kubwa la usajili akitokea USM Alger ambapo hadi sasa ameifungia timu hiyo mabao manane kwenye…

Read More