Mstaafu anapojiuliza Iko wapi nchi aliyoijenga mwenyewe?

Siku chache zilizopita, Mstaafu wetu alikuwa na mawasiliano na mstaafu mwenzie na kujadiliana mambo mbalimbali. Ndio, Mstaafu wetu alikuwa na mawasiliano na mstaafu huyo aliyemtumia ujumbe kumuuliza kama hii bado ni nchi yao kweli waliyojenga kwa damu na jasho lao lakini sasa inafikia hatua ya kuitana kenge ndani ya Bunge la nchi na ikaonekana ni…

Read More

MOIL YAJIPANGA KUCHANGIA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI TANZANIA

  Kampuni ya MOIL imeonesha dhamira yake ya kuunga mkono mkakati wa Taifa wa nishati safi kwa vitendo, ikitazama fursa za kuwekeza katika uzalishaji wa Gesi Asilia iliyoshindikizwa (CNG) hapa nchini. Akizungumza katika Kongamano na Maonesho ya Petroli Afrika Mashariki (EAPCE’25), Mkurugenzi wa MOIL, Bw. Altaf Mansoor, aliishukuru Wizara ya Nishati kwa kuandaa jukwaa hilo…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU JENIFA OMOLO ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA FEDHA SABASABA 2024

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, akisikiliza maelekezo  kutoka kwa Afisa Tehama wa Wizara ya Fedha, Bw. Emmanuel Maendaenda, kuhusu namna mfumo wa GePG unavyofanyakazi, wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke,…

Read More

WITO WA RAIS SAMIA WA KUONGEZA UZALISHAJI WA KILIMO GAIRO, ISHARA YA KUKUA KWA UCHUMI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi kubwa kwa wakazi wa Wilaya ya Gairo, akilenga kuboresha miundombinu na huduma za kijamii. Baada ya kuzindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo, Rais Samia alieleza kuwa serikali imejizatiti kuboresha miundombinu ya umeme na maji. Kwa mfano, kituo kidogo cha umeme kilichojengwa Kongwa kitasambaza umeme hadi Gairo, na serikali…

Read More