Wawakilishi walia sheria ya uvuvi kuwanyanyasa wavuvi

Unguja. Wakati Wizara ya Uchumi wa Buluu ikisema ipo kwenye mchakato wa mwisho kufanyia marekebisho ya sheria ya uvuvi, wajumbe wa baraza la wawakilishi wametoa mapendekezo yao kuondoa vipengele ambavyo vimekuwa mwiba kwa wavuvi. Malalamiko hayo ya  sheria hiyo namba saba ya mwaka 2010 ni pamoja na kuzuia wavuvi kuingia na viatu baharini, kutumia vioo…

Read More

India, Canada zafukuziana mabalozi katikati mwa mzozo mkubwa – DW – 14.10.2024

India na Canada kila moja ilimfukuza balozi wa nchi nyingine pamoja na wanadiplomasia wengine watano, kufuatia madai ya New Delhi kwamba balozi wake ametajwa kati ya “watu wanaoshukiwa” kuhusiana na mauaji ya kiongozi wa wanaharakati wa kujitenga wa Masingasinga. Mgogoro wa kidiplomasia uliibuka baada ya New Delhi kusema kuwa inawaondoa wanadiplomasia wake sita kutoka Canada,…

Read More

TUJITOKEZE KUPIGA KURA, TUACHE PROPAGANDA ZISIZO NA MAANA

Na Emmanuel Mbatilo, Michuzi Tv- 0673956262 TUKIWA katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, kumekuwa na hali tofauti kutokana na kuibuka kwa makundi madogo ya watu ambao kwa kawaida hutumia nafasi za kisiasa kuchochea machafuko na kutisha amani ya nchi yetu. Tanzania, nchi huru na yenye haki kwa raia wake, haiwezi kuruhusu…

Read More

MIKATABA MINNE YA KUNUNUA DHAHABU NA KUSAFISHWA YASAINIWA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma SERIKALI Imesaini mikataba minne kwa ajili ya kununua asilimia 20 ya dhahabu inayochimbwa na kusafishwa hapa nchi,ambayo itanunuliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT),ili kuhakikisha wanakuza uchumi WA nchi na wachimbaji kwa ujumla. Utiaji saini huo ni moja ya utekelezaji wa kifungu cha sheria ya Madini ambacho kinawataka wachimbaji kufanya…

Read More

Maswali kibao tukio la ‘utekaji’ wa Tarimo

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi wa tukio la kutaka ‘kutekwa’ kwa mfanyabiashara, Deogratius Tarimo, mijadala imeibuka juu ya hali ilivyokuwa na kuibua maswali kibao. Tukio hilo lililotokea Jumatatu ya Novemba 11, 2024 eneo la Kiluvya jijini Dar es Salaam, limetonesha matukio ya aina hiyo ya watu ‘kutekwa’ ama kupotea katika…

Read More