Makamu wa Rais mgeni rasmi kongamano Dira ya Maendeleo

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa kongamano la Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 litakalofanyika Juni 8,2024 kwenye ukumbi wa Nkurumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 4, 2024 jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais,…

Read More

Samia ampongeza Rais mteule Mexico

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa Rais mteule wa Mexico Claudia Sheinbaum baada ya kuibuka kidedea katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, uliofanyika Jumapili ya Juni 2, 2024. Rais Samia ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa X leo Juni 4, 2024 akimtakia kila la kheri katika uongozi wake….

Read More

Serikali yatoa kauli malalamiko ya kodi, matumizi ya EFD

Dodoma. Wakati Serikali ikiwataka wananchi kuwasilisha malalamiko ya kodi kupitia namba ya bure, imeeleza changamoto inazopitia katika ukusanyaji kodi kwa kutumia mashine za kielektroniki za EFD. Pia Kamati ya Bunge ya Bajeti imezungumzia tatizo la malalamiko ya kodi, ikibainisha masharti ya kumlinda mteja kwenye Sheria ya Sekta ndogo ya Fedha ndiyo suluhisho la mikopo ‘kausha…

Read More

Kijiji chapata maji safi na salama kwa mara ya kwanza tangu Uhuru

Adha ya upatikanaji wa maji safi na salama, iliyokuwa ikiwakabili wananchi wa Kijiji cha Mherule, kata ya Mwanya Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero mkoani Morogoro, imebaki historia baada ya serikali kutekeleza mradi wa maji safi na salama ya kunywa kijijini hapo. Anaripoti Victor Makinda, Morogoro…(endelea). Wakizungumza na MwanaHALISI Online wananchi wa kijiji hicho wamesema ujio…

Read More

ANC chasaka washirika kuunda serikali – DW – 04.06.2024

Kinakabiliwa na changamoto hiyo baada ya kupoteza wingi wa viti vya bunge katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita ikiwa ni mara ya kwanza tangu kilipoingia madarakani miaka 30 iliyopita. Vyama vyenye uwezekano wa kuunda ushirika na chama cha ANC vyenye itikadi tofauti zinazokinzana ni pamoja na Demokratic Alliance, chama cha aliyekuwa Rais wa zamani Jacob Zuma…

Read More

Apewa figo na dada yake, akosa Sh50 milioni kuipandikiza

Moshi. Licha ya dada yake kukubali kumchangia figo, maisha ya kijana Dickson Sambo aliyeishi miaka minane akisafishwa damu kutokana na tatizo la figo, bado yako kwenye hatihati. Kijana huyo mkazi wa Mbokomu, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro ambaye figo zake zote mbili zilifeli miaka minane iliyopita, ameshindwa kupandikizwa ogani hiyo kutokana na kukosa Sh50 milioni…

Read More