Mchengerwa atoa maagizo kumaliza changamoto za walimu

Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa ameiagiza Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania (TSC), kutembelea walimu kwenye vituo vyao vya kazi na kujua changamoto zao, badala ya kung’ang’ania ofisini. Mbali na hilo pia ameiagiza TSC kushughulikia  kero na changamoto za walimu nchini ili kuondoa malalamiko…

Read More

Rais Mwinyi aahidi mamilioni Simba ikitwaa ubingwa CAFCC

Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba, Dola  za Marekani 100, 000 (Sh269 milioni) endapo itafanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. Mechi ya Simba dhidi ya Berkane ya Morocco inatarajiwa kuchezwa kesho Jumapili saa 10: 00 jioni katika…

Read More

CHINA IKO TAYARI KUONGEZA MISAADA KWA TANZANIA

China imesema itaendelea kufadhili miradi mipya ya kimkakati ya Tanzania inayoendelea, baada ya kuridhishwa na utekelezwaji ya miradi ya awali. Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Misaada la China (CIDCA), Luo Zhaohui, aliyasema hayo kwenye mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, yaliyofanyika jijini Beijing, China mwishoni…

Read More

Kutoka kilio hadi kicheko cha maji Uhambingeto

Iringa. Wakazi wa Kijiji cha Uhambingeto, Jimbo la Kilolo mkoani Iringa wamempokea Naibu Waziri wa Maji, Kundo Mathew kwa shangwe na nderemo baada ya kuanza kupata maji kijijini humo. Mwaka 2023, wananchi hao walimpokea aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo kwa kuangua vilio wakilalamika kukwama kwa mradi wa maji. Baadaye, Waziri wa Maji, Jumaa…

Read More

SERA YA ELIMU 2024 KUONGEZA KASI YA TEKNOLOJIA KWA TAIFA.

Serikali kupitia wizara ya Elimu sayansi na teknolojia imejipanga kufanya mapitio ya mitaala kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu ili kuwanoa wanafunzi watakaondana na ukuaji wa teknolojia ulimwenguni ili kuleta chachu kwa maslahi ya taifa ikiwa na lengo la kusimamia utekelezaji wa sera ya elimu ya 2024 itakayosaidia kuongeza ufanisi kwa watumishi wa Umma….

Read More

WATAWA WATATU WALIOFARIKI KWA AJALI WAZIKWA NDANDA,RAIS WA TEC ALIA NA MASHIMO KWENYE BARABARA ZA KUSINI.

Elizaberth Msagula,Lindi Miili ya Watawa watatu wa Shirika la Mtakatifu Benedikto Abasia ya Ndanda Jimbo Katoliki la Mtwara, waliofariki dunia kwa ajali ya gari ijumaa Julai 12, 2024, imezikwa leo Julai 17,2024 katika makaburi ya Watawa huko Abasia Ndanda huku Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania Tec Mhashamu Wolfgang Pisa akipaza sauti juu ya…

Read More

Simba inahitaji akili kubwa kujikwamua kwa sasa

KWA muda mrefu baadhi ya wadadisi tumekuwa tukihoji kusuasua kwa safari ya mabadiliko kwenye klabu ya Simba, lakini hoja hizo zimekuwa zikipokewa kwa matusi, dhihaka, mizaha na kejeli, kitu ambacho usingekitegemea kutoka kwa watu walioamua kwa dhati kufanya mabadiliko. Kinara wa udadisi huo alikuwa Mbunge wa Nzega (CCM), Dk. Hamisi Kigwangallah, ambaye alianzia kuhoji uteuzi…

Read More

Kinachofanyika udhibiti athari za tumbaku Tanzania

Dar es Salaam. Wakati kila mwaka watu 21,800 wakipoteza maisha nchini kwa maradhi yatokanayo na uvutaji wa tumbaku, Serikali imeeleza hatua zinazochukuliwa kudhibiti athari za zao hilo. Kwa mujibu wa taarifa za uwekezaji na udhibiti wa tumbaku Tanzania (Investment Case for Tobacco Control in Tanzania), kila mwaka vifo vitokanavyo na matumizi ya tumbaku huchangia asilimia…

Read More