Mbeya Cement yatoa gawio baada ya miaka 10

Dar es Salaam. Kampuni ya saruji ya Mbeya Cement Company Limited (MCCL) imetangaza malipo ya gawio ikiwa ni miaka 10 tangu malipo ya mwisho yalipofanyika.  Kampuni hiyo imetangaza mgao wa Sh4,259 kwa kila hisa, ikiwa ni sehemu ya faida iliyosubiriwa kwa muda mrefu inayoakisi utendaji wa kampuni uliorekodiwa mwaka wa 2023. Kutokana na faida hiyo,…

Read More

Rais Samia asisitiza uwekezaji, ajenda ya nishati safi

Seoul. Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa ushirikiano na uwekezaji kwenye ajenda ya nishati safi ya kupikia huku akimtaka Rais wa Jamhuri ya Korea, Yoon Suk Yeol kuungana na mataifa ya Afrika katika ajenda hiyo. Rais Samia amebainisha hayo leo Juni 4, 2024 jijini Seoul, Korea Kusini wakati wa mkutano kati ya Korea na…

Read More

Bares atoa masharti manne Mashujaa

BAADA ya kufanikiwa kubaki salama Ligi Kuu, Kocha Mkuu wa Mashujaa, Abdalah Mohamed ’Bares’ amesema ripoti aliyowasilisha kwa uongozi iwapo itafanyiwa kazi ipasavyo, msimu ujao timu hiyo itashangaza wengi. Mashujaa ambayo ilishiriki kwa mara ya kwanza Ligi Kuu, licha ya kupitia misukosuko ya matokeo yasiyoridhisha, ilifanikiwa kubaki salama ikiwa nafasi ya tisa kwa pointi 34….

Read More

MWALIMU AJIBIWE MAJIBU YA STAHA-DKT. MSONDE 

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amesema, mwalimu ni mtumishi mwenye hadhi kama walivyo watumishi wenginge hivyo ni lazima ajibiwe kwa staha na viongozi wote wakiwemo wakurugenzi wa halmashauri, maafisa elimu wa ngazi zote pamoja na watumishi wengine wa Serikali. Dkt. Msonde ametoa wito huo kwa nyakati…

Read More

Balozi wa Tanzania nchini Korea akanusha upotoshaji Tanzania kutoa sehemu ya bahari na madini

Balozi wa Tanzania nchini Korea, Togolani Mavura amekanusha taarifa iliyosambazwa na chombo kimoja cha habari kuwa Tanzania imepokea mkopo kutoka Jamhuri ya Korea na kutoa sehemu ya bahari na madini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kupitia ukurasa wake rasmi wa mtandao wa X (zamani Twitter), Balozi Togolani ameandika, “Taarifa hii ina mapungufu makubwa ya kiuandishi,…

Read More

Chongolo aagiza mzee aliyeporwa ardhi arejeshewe

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo ameuaguza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kumrejeshea ekari 18 Wendisoni Sasala ambazo ziliongezwa kutoka ekari 50 alizotoa bure kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Msingi Itindi na kufikia ekari 68 bila ridhaa yake. Mzee Sasala ametoa malalamiko hayo jana jioni Juni 4, 2024 mbele…

Read More