Rais Samia: Masanduku yatakavyosema ndivyo matokeo yatakavyokuwa

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amepiga kura kuwachagua viongozi wa serikali ya Kijiji cha Chamwino kilichopo Wilaya ya Chamwino jijini hapa, huku akisisitiza wananchi kupiga kura kwa maelewano na kuwa masanduku yatakavyosema ndiyo matokeo yatakavyokuwa. Rais Samia amebainisha hayo wakati akipiga kura leo Jumatano Novemba 27, 2024 katika kituo cha Sokoine kilichopo katika kijiji hicho….

Read More

Waliomuua mtuhumiwa wa wizi kunyongwa hadi kufa

Arusha. Haya ndiyo madhara ya kujichukulia sheria mikononi. Ndicho kilichowakuta wakazi wawili wa Musoma, ambao wamekwaa kisiki Mahakama ya Rufani iliyobariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mtu mmoja waliyemtuhumu kuiba mihogo. Waliohukumiwa adhabu hiyo ni Kisika Omary na Juma Mweya ambao walimuua Shida Peter kwa kumkata na panga kichwani na kifuani kisha kuchoma…

Read More

MFUKO WA PSSSF WAKARIBIA THAMANI YA SHILINGI TRILIONI 10

MFUKO wa hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma (PSSSF), umewaondolea wasiwasi wastaafu  wa mfuko huo kufuatia kuendelea kukua na kukaribia kufikia thamani ya Trilioni 10 na hivyo kuwahakikishia kuendelea kupata mafao yao kwa wakati. Hayo yameelezwa jana jijini hapa na Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa PSSSF, Abdulrazaq Abdu alipokuwa akitoa taarifa ya mradi wa…

Read More

Sintofahamu uchaguzi CUF, Lipumba apata wapinzani

Miaka 32 sasa imepita tangu Chama cha Wananchi (CUF) kilipopata usajili wa kudumu kama chama cha siasa, huku kikipitia milima na mabonde hadi kufikia sasa, kikiwa ni moja kati ya vyama vitano vikubwa nchini. Chama hiki kimepitia hatua mbalimbali za ukuaji wake, kiliwahi kuwa chama kikuu cha upinzani nchini na chama kilichoshiriki kuunda Serikali ya…

Read More

KONA YA FYATU MFYATUZI: Bomoa mijengo yote ya Kalia Koo

Wapendwa mafyatu na mashabiki wangu, jongea ugani tudurusu na kujadili hii ishu kwa utuo na uzuri. Keibuni sana waghoshi na waghoshingwa woshe. Du, nimesahau hadi nikamwaga ung’eng’e utadhani wote ni wabritish! Chapu chapu. Kwanza, natuma salamu za rambirambi kwa wahanga wa janga la kikaya la Kalia Koo. Pili, namshukuru mheshimiwa rahis kwa namna alivyolishughulikia balaa…

Read More

Washindi wa NMB wamwagiwa zawadi

WASHINDI wa Kampeni ya Weka, Tumia na Ushinde Kutoka Benki ya NMB, leo Jumatano wamekabidhiwa zawadi huku umati mkubwa wa wakazi wa Dodoma ukishuhudia tukio hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Kutolewa kwa zawadi hizo ni hitimisho la Kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyofikia mwisho wake Mei mwaka huu ambapo zawadi mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya…

Read More

TANROADS YAMPA TANO RAIS SAMIA KUTOA BIL 101.2 KUANZA UJENZI WA KM 73 ZA LAMI BARABARA YA KAHAMA-BULYANHULU JCT – KAKOLA

Baada ya tarehe 16 Machi 2024 Serikali kusaini Mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kahama-Bulyanhulu Jct – Kakola yenye urefu wa Kilomita 73 kwa kiwango cha lami, tayari Kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation imeanza utekelezaji wake. Pamoja na Barabara hiyo kufungua fursa za kiuchumi za madini, kilimo, misitu na utalii katika mikoa ya…

Read More

Maduka jirani na jengo lililoporomoka yafunguliwa Kariakoo

Dar es Salaam. Maisha lazima yaendelee. Ni kauli za wafanyabiashara kwenye maghorofa mawili yaliyo pembeni ya lile lililoporomoka katika soko la Kariakoo ambao sasa wanaendelea na shughuli zao za kibiashara. Majengo hayo mawili yalitakiwa kuchunguzwa usalama wake, mara baada ya ajali ya kuporomoka kwa jengo jirani na kusababisha vifo vya watu 29, majeruhi 88 na…

Read More