Yanga yabeba mabilioni baada ya kutwaa Ligi Kuu, FA

FEDHA ndefu! Hivyo ndiyo unaweza kusema baada ya Yanga kufanikiwa kutwaa ubingwa wa FA ambao unawafanya wakusanye kitita kikubwa cha fedha msimu huu baada ya awali kuchukua kombe la Ligi Kuu Bara. Yanga msimu huu, imeweka rekodi nzito ikikusanya jumla ya Sh6.5 bilioni kutoka kwa wadhamini, zilizotokana na makombe mawili iliyochukua huku ikifika hatua ya…

Read More

Mauzinde akatwa masikio na kutelekezwa msituni

Unguja. Hussein Abdala (30) maarufu Mauzinde mkazi wa Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi visiwani Zanzibar amekatwa masikio yote mawili na kutelekezwa msituni. Tukio hilo limetokea  jana Jumapili Juni 2, 2024 saa 3 usiku eneo la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja. Akizungumza na Mwananchi Digital kwa njia ya simu leo Juni 3, 2024…

Read More

Simba yapora kiungo kimafia | Mwanaspoti

HATIMAYE sasa Simba imeanza ule umafia wake, baada ya kuingilia dili la Yanga na sasa ipo mwishoni kumalizana na kiungo wa Singida Fountaine Gate, Yusuph Kagoma. Awali gazeti hili liliripoti mpango wa Yanga kuwinda saini ya kiungo huyo kwa lengo la kuwa msaidizi wa Khalid Aucho kwenye timu hiyo itakayocheza michuano ya Ligi ya Mabingwa…

Read More

Dk Biteko ang’aka vitengo vya mazingira kutotengewa bajeti

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Doto Biteko amekerwa na watendaji wa vitengo vya mazingira kwenye wizara na taasisi kudhani kuwa hawana shughuli za kufanya na wakati mwingine kutotengewa bajeti. Akizungumza leo Jumatatu Juni 3, 2024 wakati akifungua maadhimisho ya Wiki ya Mazingira, Dk Biteko amesema kazi utunzaji wa mazingira imeachiwa na…

Read More

DP World yakabidhiwa bandari Dar

Dar es Salaam. Wakati Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ikikabidhi Bandari ya Dar es Salaam kwa Kampuni ya DP World, Serikali inaangalia namna ya kufanya upanuzi wa bandari hiyo ili kuendana na ongezeko la mizigo inayohudumiwa. Hiyo ni baada ya baadhi ya wamiliki wa migodi kutoka nchi jirani pia kuonyesha nia ya kuanza kutumia Bandari…

Read More