Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ’Shinda mechi zako Kinamna yako,’ Yakabidhi BMW X1 Kwa ‘Mmachinga’ Kariakoo.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imehitimisha rasmi kampeni yake ya ’Shinda mechi zako Kinamna yako’ kwa kukabidhi zawadi ya gari ya pili aina BMW X1 kwa Bw Galus Peter Casto maruufu kama “Kweka” ambae ni mfanyabiashara mdogo ‘Machinga’ kwenye Soko la Kariakoo jijini Dar es salaama alieibuka mshindi wa zawadi hiyo kuu. Kampeni hiyo…

Read More

KAYA 980 KUUNGANISHWA NA MTANDAO WA GESI ASILIA – TPDC

–Serikali kupitia TPDC imetenga Shilingi Bilioni 5.3 kwa ajili ya mradi huu -Gesi asilia ni rafiki wa mazingira, nafuu na salama  –Wananchi wa Kata ya Mnazi Mmoja, Lindi wapewa elimu kuupokea mradi. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)  limeendelea kutekeleza kwa vitendo Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa kuanza utekelezaji wa mradi…

Read More

Kamatakamata ya ‘makahaba’ Dar yadaiwa kukiuka haki ya faragha

Dar es Salaam. Sakata la ukamataji wanawake wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya ukahaba, limeibua mjadala kutoka kwa wanaharakati. Ukamataji huo pia unahusisha wanaume wanaokuwa na wanawake hao bila kujali kama wanahusika ama la. Hata hivyo, uchunguzi wa Mwananchi umebaini licha ya ukamataji kufanyika, bado hurejea katika maeneo hayo na kuendelea na shughuli zao kama kawaida….

Read More

Mbeya Cement yatoa gawio baada ya miaka 10

Dar es Salaam. Kampuni ya saruji ya Mbeya Cement Company Limited (MCCL) imetangaza malipo ya gawio ikiwa ni miaka 10 tangu malipo ya mwisho yalipofanyika.  Kampuni hiyo imetangaza mgao wa Sh4,259 kwa kila hisa, ikiwa ni sehemu ya faida iliyosubiriwa kwa muda mrefu inayoakisi utendaji wa kampuni uliorekodiwa mwaka wa 2023. Kutokana na faida hiyo,…

Read More

Benki ya CRDB yawakaribisha Wanahisa kwenye Mkutano Mkuu wa 30

 Taarifa hiyo imetolewa leo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye hoteli ya Gran Meliá, jijini Arusha, ambapo Benki ya CRDB pia ilizindua Ripoti yake ya Mwaka 2024, inayoonyesha maendeleo makubwa ya kifedha, kiutendaji na kijamii yaliyopatikana katika kipindi hicho.   Akizungumza katika mkutano huo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Dkt….

Read More

Daktari kinara wa tohara kwa wanaume afariki ghafla

Songwe. Wadau wa afya nchini wameeleza mchango wa Dk Daimond Simbeye aliyekuwa mtaalamu wa afya ya umma hasa tohara ya matibabu ya kiume ya hiari (VMVC), inayochangia kupunguza maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kwa asilimia 60. Dk Simbeye (56) aliyezikwa katika Kijiji cha Mbulu wilayani Mbozi, alifariki Septemba 9, 2024 baada ya kuugua ghafla na…

Read More

VIDEO: Askari polisi wawili wauawa wakikamata mtuhumiwa

Dodoma. Askari polisi wawili wameuawa usiku wa kuamkia leo Desemba 18, 2024 kwa kushambuliwa na mtuhumiwa wa unyang’anyi wa kutumia silaha, Atanasio Malenda, wakati walipokwenda kumkamata nyumbani kwake. Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Msagali wilayani Mpwapwa Mkoa wa Dodoma, katika tukio ambalo Malendo (30) naye ameuawa. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

Bugando kuanza upandikizaji figo mwaka huu

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando imesema inatarajia kuanza kutoa huduma ya upandikizaji wa figo kwa wagonjwa wanaofanyiwa huduma ya usafishaji damu (Dialysis) mwaka huu. Taarifa hiyo imetolewa leo Alhamisi, Machi 13, 2025, na Mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji Bugando, Dk Alicia Masenga, kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando,…

Read More