
Taa 600 za barabarani Tanga hazifanyi kazi, wafanyabiashara walia
Tanga. Zaidi ya taa 600 za barabarani katika Jiji la Tanga zimebainika kuwa hazifanyi kazi kwa muda mrefu. Wafanyabiashara na watumiaji wa maeneo hayo wamelalamika kuathiriwa na hali hiyo waliyodai kuwa husababisha ajali na wananchi kuporwa mali zao. Wafanyabiashara wa maeneo ya barabara ya 12, 15 na 21 na mitaa mingine wakizungumza na Mwananchi Digital…