Wananchi 103 wa maeneo yaliyotwaliwa Dodoma walipwa mamilioni

Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Maji, imekamilisha ulipaji fidia yenye jumla ya Sh999 milioni kwa wananchi 103 wa maeneo yalitwaliwa yakiwamo Nzuguni, Zuzu Nala, Nala Chihoni na Kibaigwa jijini Dodoma. Lengo ni ujenzi wa miradi ya maji inayotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (Duwasa). Ulipaji wa fidia hizo, umeongozwa na Wizara…

Read More

Uwezo: Daraja sifuri lifutwe mitihani ya kitaifa

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita takriban wiki mbili tangu kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2024, Shirika la Uwezo Tanzania limependekeza kufutwa kwa daraja sifuri, likisema uwepo wake unawaathiri kisaikolojia vijana. Badala yake, wamependekeza daraja la nne kutanuliwa wigo na kuwekwa utaratibu maalumu utakaowafanya wanaopata daraja la nne na sifuri kuingizwa…

Read More

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Benki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa kwa wanakikundi wote kufurahia huduma kidijitali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Uzinduzi huo umefanyika leo Ijumaa mbele ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima na kuhudhuriwa na wanavikundi zaidi ya 400. Akizungumzia akaunti hiyo Afisa Mtendaji Mkuu, Ruth…

Read More

CCM, Chadema watakavyomkumbuka Mzee Msuya

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) vimeomboleza kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa David Msuya (94). CCM kimesema Mzee Msuya ni miongoni mwa makada wake waliolitumikia Taifa kwa moyo wa dhati, uadilifu na uzalendo usiotetereka. Chadema chenyewe kimesema: “Tutamkumbuka Mzee…

Read More

Serikali yatoa msimamo afya mabondia wa kulipwa

SERIKALI imewataka mapromota kuhakikisha wanakuwa na ripoti ya afya kwa mabondia kabla ya kuingia makubaliano ya kusaini mikataba ya kucheza mapambano. Kauli hiyo imetolewa leo na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma ‘Mwana FA’ wakati akifanya kikao na mapromota wa ngumi za kulipwa jijini Dar es Salaam. Mwana FA amesema mapromota…

Read More

PAPA LEO ALIFIKA TANZANIA 2004

…………. Mwaka 2004, Papa Leo XIV alifika nchini Tanzania na kufanya ziara kama Mkuu wa Shirika la Waagustiniani Ulimwenguni.  Katika.ziara hiyo Papa Leo anayetoka katika Shirika la Order of Saint Augustine (OSA), alifika jijini Dar es Salaam kisha akaenda mkoani Njombe. Ziara hiyo pia ilihusisha maeneo ya Mahanje hadi mkoani Songea.

Read More

ULEGA AWASILISHA BAJETI BUNGENI

:::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega akiwasili Bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu  tarehe 05 Mei,2025 kushiriki vikao vya Bunge la Bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ambapo leo atawasilisha Mpango na makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha kwa mwaka wa Fedha 2025/2026.  Waziri Ulega amefuatana na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhandisi,  Godfrey Kasekenya….

Read More