Milioni 50 zakwamisha basi Coastal Union

KIASI cha Sh50 milioni zilizotakiwa kulipwa Mamlaka la Mapato Tanzania (TRA), zimedaiwa kukwamisha basi la Coastal Union kutoka bandarini Dar es Salaam na sasa mabosi wapya wanakuna vichwa kukamilisha ndoto ya kumiliki usafiri wa maana wa wachezaji na maofisa wa timu hiyo. Mzabuni wa Coastal ambaye pia ni mdhamini wa klabu hiyo kutoka kampuni ya…

Read More

Kampeni wagombea Chadema zashika kasi kwenye kanda

Dar es Salaam. Wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye kanda nne ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamesema uchaguzi utakaofanyika kati ya Mei 25 na 29, 2024 hautakuwa mwepesi kwa sababu kwa asilimia kubwa umewakutanisha wagombea waandamizi wa ndani ya chama hicho. Wamesema uchaguzi huo utakuwa na ushindani, tofauti na mwingine wowote awali, kwa…

Read More

Kilichomng’oa Kally Ongala KMC | Mwanaspoti

UONGOZI wa KMC umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Kally Ongala kutokana na mwenendo mbovu wa kikosi hicho msimu huu katika Ligi Kuu tangu alipojiunga nacho Novemba 14, 2024. Taarifa kutoka katika timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti kuwa, Kally na viongozi wa kikosi hicho kwa sasa hawaelewani kutokana misuguano ya ndani kwa ndani, jambo linalochangia kufanya vibaya…

Read More

AMERICARES YATOA MATIBABU BILA MALIPO KWA WAGONJWA WA FISTULA MKOANI SHINYANGA

Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog Shirikala Americares limeendesha zoezi la utoaji wa huduma ya matibabu ya bila malipona kufanya operesheni ya ugonjwa wa fistula kwa kina mama waliobainika kuwa naugonjwa huo ndani ya mkoa wa Shinyanga. Zoezihilo la matibabu limefanyika kwa muda wa siku tatu katika hospitali ya Rufaaya Mkoa wa Shinyanga iliyopo kata ya Mwawaza manispaa ya Shinyanga….

Read More

135,027 waomba ajira TRA, kuajiriwa kabla ya Juni

Dodoma. Watu 135,027 wameomba ajira katika nafasi 1,596 zilizotangazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Februari 6, mwaka 2025 TRA ilitangaza nafasi za ajira katika idara za mapato ya ndani, forodha na ushuru, usimamizi na utawala wa raslimali watu. Nyingine ni utafiti na mipango, fedha, ukaguzi wa ndani, mambo ya ndani na idara ya viatarishi…

Read More

Ibenge kutesti mitambo Arachuga | Mwanaspoti

BAADA kucheza mechi ya ndani na kombaini ya Arusha, kikosi cha Azam FC chini ya kocha Florent Ibenge kinaendelea na maanzalizi kikijifua kwa mchezo mwingine wa kirafiki dhidi ya JKT Tanzania utakaopigwa Agosti 13 kabla ya kutimkia Rwanda. Azam FC ipo Arusha ambako imeweka kambi kwa siku 14 na mipango yake ni baada ya siku…

Read More

Yanga kurejea alfajiri na kombe

BAADA ya kutwaa taji la Toyota Cup Afrika Kusini kikosi cha Yanga kinatarajia kuwasili alfajiri ya kesho. Yanga imetwaa taji hilo baada ya kuifunga Kaizer Chiefs mabao 4-0 mchezo wa kimataifa wa kirafiki kwa timu zote mbili ambazo zinajiandaa na ligi na michuano ya kimataifa. Akizungumza na wanahabari, Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amewaita…

Read More