TANZANIA KINARA AFRIKA MASHARIKI UKOMAVU WA TEHAMA

Na. Vero Ignatus, Arusha. Mkutano wa tano wa serikali mtandao umefanyika Leo Jijini Arusha ambapo umewakutanisha Takriban wadau 1000 ambapo utafanyika kwa siku tatu, kuanzia kwa Leo 11februari-13 februari 2025 ukiwa na lengo la kujadiliana kuhusu hali ya utekelezaji wa Serikali Mtandao nchini Akifungua kikao kazi hicho Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango katika Kituo…

Read More

Bocco kukabidhiwa unahodha JKT, Ilanfya ndani

MSHAMBULIAJI John Bocco anatarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa na JKT Tanzania na tayari amepiga picha za utambulisho na kaingiziwa pesa zake za usajili. Mwanaspoti imepata taarifa za ndani kutoka kwa uongozi wa timu hiyo zikieleza kwamba Bocco ndiye atakayekuwa nahodha mpya wa kikosi hicho. Bocco amesajiliwa na JKT Tanzania kwa mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Taharuki makaburi 19 yakibomolewa na wasiofahamika Tabora

Tabora. Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu wasiofahamika wameyavamia na kuyavunja makaburi 19 yaliyopo Mtaa wa Magubiko kata ya Kiloleni Manispaa ya Tabora, huku tabia hiyo ikitajwa kuwa imekuwa ya ikijirudia kwa matukio tofauti yanayofanana na hilo. Alexander Ntonge aliyezika ndugu yake hivi karibuni,  amesema yeye alipigiwa simu kuwa umetokea uharibifu wa kuvunjwa makaburi na…

Read More

Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda, ameipongeza SADC kwa kuimarisha Demokrasia

Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda, ameipongeza Jumuiya ya maendeleo nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), kwa hatua muhimu iliyofikiwa katika kumairishwa kwa Demokrasia, Amani, Ulinzi, Usalama na Maendeleo kwa Nchi za Jumuiya hiyo.   Akiungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuwasili Jijini Gaborone Nchini Botswana, kutekeleza majukumu ya uangalizi wa uchaguzi Mkuu…

Read More

‘Ondoeni kodi asilimia 2 kwa wakulima’Mbunge Cherehani

*MBUNGE CHEREHANI – ONDOENI KODI ASILIMIA 2 KWA WAKULIMA*   Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameiomba Serikali kuiondoa kodi ya asilimia 2 kwa wakulima wa mazao nchini suala ambalo linakwenda kuwaathiri na kuongeza gharama kubwa kwa wakulima.   Akiongea Bungeni jijini Dodoma Mhe. Cherehani wakati akichangia Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha…

Read More

Maniche aingiwa ubaridi, City yajibu mapigo

Wakati mashabiki wa Mtibwa Sugar wakianza hesabu za vidole kwa chama lao kurejea tena Ligi Kuu, kocha wa timu hiyo Awadh Juma ‘Maniche’ amesema bado wana kazi kubwa ya kufikia malengo hayo, huku akieleza wanacheza kwa hofu ili kutotibua mipango. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya kikosi hicho kilichoshuka daraja msimu uliopita kutoka suluhu…

Read More

MTATURU ACHANGIA MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA ELIMU

  JITIHADA za Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mhe Miraji Mtaturu kwa kushirikiana na wanachi zimesaidia kukamilisha kazi ya upauaji wa madarasa mawili katika Shule Shikizi ya Mwitumi hatua itakayoondoa changamoto ya watoto kusafiri umbali wa kilomita 9 na kuvuka mito miwili kufuata shule mama ya Msingi Nkundi. Katika jitihada hizo wananchi walitumia nguvu…

Read More

Uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba 27

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerewa ametoa tangazo la uchaguzi wa Serikali za mitaa akisema utafanyika Novemba 27, 2024. Tangazo hilo amelitoa leo Alhamisi, Agosti 15, 2024 jijini Dodoma, akisema kampeni za uchaguzi huo zitaanza Novemba 20-26, 2024. Awali, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Tamisemi,…

Read More