Ramaphosa akubali anguko la ANC, awaachia wananchi

Johannesburg. Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya nchi hiyo ni ushindi wa demokrasia.  Katika matokeo hayo, African National Congress (ANC) imepata asilimia 40.18, ikifuatiwa na Democratic Alliance (DA) asilimia 21.81, uMkhoto we Sizwe (MK) asilimia 14.58, Economic Freedom Fighters (EFF) asilimia 9.52, huku vyama…

Read More

Hivi ndivyo pisi kali ya Ronaldo inavyopiga hela

RIYADH, SAUDI ARABIA: UTAJIRI wa supastaa Cristiano Ronaldo unaripotiwa kuwa Dola 600 milioni. Ni mkwanja mrefu kweli kweli. Lakini, ushawahi kujiuliza, mwanamke, ambaye Ronaldo amezama penzini kwake, atakuwa anaishi maisha matamu kiasi gani? Unadhani atakuwa anaomba na ya kutolea? Sasa ni hivi, Ronaldo baada ya kupita kwa wanawake kibao, amekwenda kunasa kwa mrembo wa Kihispaniola,…

Read More

TPC na mipango ya kuwainua wanawake gofu

KATIKA kuhakikisha usawa wa kijinsia kwenye mchezo wa gofu, klabu ya TPC Moshi imeanza rasmi mchakato wa kuongeza idadi ya wachezaji wa kike. Mzuka wa gofu, kupitia gazeti la Mwanaspoti limefanya mahojiano na nahodha wa TPC, Jafari Ali ambaye anataja mipango ya klabu hiyo. Anasema mkakati wa klabu hiyo ni kuhakikisha wanawapata wanachama wa kike…

Read More

Mustakabali wa Bruno Fernandes ndani ya Man Utd.

Wakala wa Bruno Fernandes Miguel Pinho amekutana na vilabu vikuu vya Ulaya. Mkataba mpya wa Man Utd pia unawezekana lakini inategemea meneja na mradi mpya wa Man United. Bruno Fernandes, kiungo mahiri wa Manchester United, amekuwa akigonga vichwa vya habari hivi karibuni kutokana na wakala wake, Miguel Pinho, kuripotiwa kukutana na klabu kubwa za Ulaya….

Read More

Bakari Machumu atangaza kustaafu MCL

Dar es Salaam. Baada ya miaka minne ya mafanikio ya kiuongozi akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu ametangaza kustaafu ifikapo Agosti 31, 2024. Machumu ambaye amehudumu kwa muda mrefu katika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya kampuni hiyo hadi kufika ngazi ya mkurugenzi mtendaji, ametangaza hilo leo Jumatatu Juni…

Read More