
Haya hapa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano, vyuo vya kati
Wahitimu 188,787 kati ya 197,426 waliofaulu mitihani ya kidato cha nne, wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano na sita pamoja na vyuo mbalimbali kwa mwaka 2024.