PROF. MKENDA AZIPONGEZA SHULE BINAFSI KUSITISHA MASOMO KUTOKANA NA HALI YA HEWA MBAYA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imewataka wazazi na walezi pindi wanapoona mvua kubwa zinanyesha kutowaruhusu watoto kwenda shule ili kuepuka athari ambazo zinaweza kujitokeza kutoka na mafuriko na kuharibika kwa miundombinu ya barabara katika maeneo mbalimbali nchini. Wito huo umetolewa leo Aprili 24,2024 jijini Dar es salaam na…

Read More

Adakwa kwa kuanzisha kituo feki cha polisi

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Collins Leitich mkazi wa Kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya anashikiliwa na polisi nchini humo kwa kosa la kuanzisha kituo cha polisi na kukiendesha kinyemela bila ya idhini ya Huduma ya Kitaifa ya Polisi (NPS). Kwa mujibu wa mtandao wa Tuko wa nchini humo, Leitich alipaka kituo hicho rangi…

Read More

Makatibu wa Kanda wailima barua Chadema, wadai mamilioni

Dar es Salaam. Waliokuwa makatibu  wa kanda tano za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekiandikia chama hicho barua kuomba malipo yao yanayotokana na utumishi wao kwa miaka 10. Makatibu hao ni Gwamaka Mbugi, Emmanuel Masonga, Kangeta Ismail, General Kaduma na Jerry Kerenge, waliokuwa watumishi wa chama hicho katika Kanda za Nyasa, Kati, Magharibi, Kusini…

Read More

Mguto ajiweka pembeni Coastal | Mwanaspoti

MWENYEKITI wa Coastal Union anayemaliza muda wake, Steven Mguto amejiweka pembeni kwenye kinyang’anyiro cha kuwania uongozi ndani ya klabu hiyo kuelekea uchaguzi unaofanyika Desema 23 mwaka huu. Desemba 23 mwaka huu, Coastal Union inatarajia kufanya uchaguzi mkuu wa nafasi mbalimbali ikiwemo moja ya Mwenyekiti, makamu Mwenyekiti na wajumbe saba wa kamati ya utendaji. Akizungumza na…

Read More

Kampeni wagombea Chadema zashika kasi kwenye kanda

Dar es Salaam. Wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye kanda nne ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamesema uchaguzi utakaofanyika kati ya Mei 25 na 29, 2024 hautakuwa mwepesi kwa sababu kwa asilimia kubwa umewakutanisha wagombea waandamizi wa ndani ya chama hicho. Wamesema uchaguzi huo utakuwa na ushindani, tofauti na mwingine wowote awali, kwa…

Read More