Vodacom Tanzania yaibuka kidedea katika tuzo za kidijitali

KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za teknolojia na mawasiliano nchini ya Vodacom, imetunukiwa tuzo na Kampuni ya Serengeti bytes kupitia programu ya Tanzania Digital Awards katika wiki ya ubunifu (Innovation week). Kampuni hiyo ya Vodacom imejishindia tuzo katika vopengele vitano ambavyo ni: · Kampuni bora ya simu nchini · Kampuni ya simu inayotoa huduma bora zaidi…

Read More

NHIF YATUMIA MAONYESHO YA 11 YA BIASHARA NA UTALII KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU VIFURUSHI VYAO

Na Oscar Assenga, TANGA MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania (NHIF) Mkoani umeshirikia maonyesho ya 11 ya Biashara na Utalii yanayoendelea kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara ili kutoa elimu kuhusu huduma wanazotoa ikiwemo vifurushi wanavyovitoa. Banda la Mfuko huo limekuwa lililopo kwenye maonyesho hayo limekuwa ni kivutio kwa wananchi ambao wamefika…

Read More

Maelfu wahamishwa kufuatia mafuriko Ujerumani – DW – 03.06.2024

Watu wameokolewa katika vijiji kadhaa vilivyoko pembezoni mwa mto Danube na Schmutter huku afisa mmoja akielezea wasiwasi kuhusiana na kufurika kwa bwawa lililoko eneo hilo. Maafisa wa uokoaji wakiwaokoa watu kwa mtumbwiPicha: Stefan Puchner/dpa/picture alliance Kulingana na idara ya hali ya hewa ya Ujerumani, mvua kubwa na mafuriko iliyoshuhudiwa katika majimbo mawili imetatiza shughuli za…

Read More

WAFUGAJI KUNUFAIKA KIUCHUMI KWA MIKOPO YA BILIONI 26 ZA TADB

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kupitia mradi Jumuishi kati ya wasindikaji na wazalishaji wa Maziwa (TI3P), unaotekelezwa na benki hiyo ikishirikiana na Heifer International na Land o Lakes, imetoa mikopo yenye thamani ya bilioni 26 katika sekta ya maziwa. Hayo yameelezwa leo na Meneja wa Kanda TADB, Alphonce Mokoki,…

Read More