MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA MKOMBOZI KWA MKULIMA

  Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo Mhe. Deodatus Mwanyika (Mb) akiwa na Wajumbe wa Kamati hiyo pamoja na Viongozi wa Wizara wakiongozwa na Naibu Waziri Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Morogoro wakiangalia miche iliyopo katika kitalu cha kuotesha miche ya…

Read More

Tuzo za TFF kutolewa mechi ya Ngao ya Jamii

TUZO za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa msimu huu zitafanyika wakati wa mchezo wa Ngao ya Jamii tofauti na mwanzoni zilipokuwa zinafanyika siku tatu kabla ya kumalizika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC). Katika taarifa iliyotolewa na TFF ilieleza kwamba, sababu kubwa za tuzo hizo kufanyika kipindi hicho ambacho…

Read More

ACT-Wazalendo Shinyanga mguu sawa uchaguzi mkuu

Shinyanga. Ofisa wa oganizesheni mafunzo na uchaguzi kutoka Chama cha ACT Wazalendo Taifa,  Risasi Semasaba amesema kuwa katika Mkoa wa Shinyanga kuna wanachama wanane waliochukua fomu za kutia nia ya ubunge na jimbo la Shinyanga mjini limekuwa na watia nia wengi. Akizungumza leo Mei 21, 2025 katika hafla fupi ya kufungua uchukuaji fomu za kutia…

Read More

Taifa Stars na leo tena

Baada ya kuanza vyema Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) 2024, timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo inatupa karata muhimu katika kundi B la mashindano hayo wakati itakapokabiliana na Mauritania katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 2:00 usiku. Kabla ya mechi hiyo, Burkina…

Read More

Kampuni sita za Kitanzania zaonyesha nia kuendesha SGR

Dar es Salaam. Kampuni sita za Kitanzania ni miongoni mwa kampuni kadhaa ambazo zimeonyesha nia ya kushirikiana na serikali katika kuendesha Reli ya Standard Gauge (SGR). Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kufuatia kutangazwa kwa Kanuni za Matumizi ya Miundombinu ya Reli kwa Watoa Huduma Binafsi za mwaka…

Read More

Mbowe kutoa msimamo uchaguzi wa serikali za mitaa

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe anatarajia kutoa msimamo wa chama hicho kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji 2024 siku ya Jumanne Disemba 10, 2024 makao makuu ya chama Mikocheni, Dar es Salaam Msimamo huo unakuja kufuatia vikao vya kamati kuu ya chama hicho vilivyoketi tangu wiki iliyopita kupitia mitandao…

Read More

Mt Uluguru kidedea tuzo za madereva

KLABU ya mbio za magari ya Mount Uluguru imetwaa taji la klabu bora ya mwaka 2024  na kupewa tuzo maalum katika hafla ya utoaji zawadi iliyofanyika mwishoni mwa juma katika Hoteli ya Golden Tulip, jijini. Klabu hiyo ya mkoani Morogoro ilishinda tuzo ya ubora baada ya mchuano mkali na klabu ya Arusha baada ya vilabu…

Read More

RAIS SAMIA ALIPIA WASIOWEZA GHARAMA UPANDIKIZAJI FIGO

    Wagonjwa wenye changamoto ya figo wanaohitaji kupandikizwa figo ambayo ni tiba stahiki kwa wagonjwa wanaosafisha damu na hawana uwezo wa kulipia gharama za upandikizaji watahudumiwa kupitia fedha alizotoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili ili ziweze kufanya kazi hiyo. Hayo yamesemwa leo…

Read More

WAZIRI RIDHIWANI AZINDUA BODI YA WADHAMINI YA NSSF

  *Aitaka Bodi kutekeleza majukumu kwa kuzingatia sheria, sera na miongozo inayotolewa na Serikali *Mkurugenzi Mkuu asema NSSF inatekeleza azma ya Rais Dkt. Samia ya kuongeza wigo wa hifadhi ya jamii kwa kuwafikia wananchi waliojiajiri Na MWANDISHI WETU, Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe….

Read More