Mwalyanzi: Moto wa Mbeya City hauzimiki

KIUNGO mshambuliaji wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi amesema ubora waliouonyesha katika Ligi ya Championship hautazimika kwani wamepania kuendelea nao hata kwenye Ligi Kuu Bara kutokana na uwekezaji na umoja uliopo ndani ya timu hiyo. Mbeya City imerejea Ligi Kuu Bara baada ya kukosekana kwa misimu miwili tangu iliposhuka 2022-2023, ikishika nafasi ya pili nyuma ya…

Read More

Kijiji chapata maji safi na salama kwa mara ya kwanza tangu Uhuru

Adha ya upatikanaji wa maji safi na salama, iliyokuwa ikiwakabili wananchi wa Kijiji cha Mherule, kata ya Mwanya Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero mkoani Morogoro, imebaki historia baada ya serikali kutekeleza mradi wa maji safi na salama ya kunywa kijijini hapo. Anaripoti Victor Makinda, Morogoro…(endelea). Wakizungumza na MwanaHALISI Online wananchi wa kijiji hicho wamesema ujio…

Read More

Hiki hapa kilichomuondoa Ramovic Yanga

KUNA mshtuko umetokea leo jioni kwenye mazoezi ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakati kikosi hicho kikijiandaa na mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa kesho  Jumatano Februari 5, 2025 dhidi ya KenGold utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge, Dar es Salaam. Unavyosoma taarifa hii ni kwamba kocha wa Yanga, Sead Ramovic atamalizia mchezo…

Read More

Gadiel aanza kazi Chippa United, Majogoro kicheko

KIUNGO mkabaji wa Chippa United, Baraka Majogoro amefurahishwa kucheza na Mtanzania mwenzake beki Gadiel Michael aliyejiunga na timu hiyo, akiamini kuna kitu kikubwa kitaongezeka. Gadiel alijiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Cape Town Spurs ya nchini humo ambapo Majogoro amesema amepata mtu wa kushauriana, hivyo anaamini watafanya kazi kwa ubora wa…

Read More

VIDEO: Wafanyabiashara Soko la Chief Kingalu wagoma, wamtaka DC atengue kauli

Morogoro. Baadhi ya wafanyabiashara wa Soko kuu la Chief Kingalu katika Manispaa ya Morogoro leo Agosti 23, 2024 wamegoma kufungua biashara zao na kufunga barabara inayoingia sokoni hapo, wakipinga wafanyabiashara wadogo kuruhusiwa kufanya biashara nje ya soko hilo. Wafanyabiashara hao wamedai kuwa agizo la wafanyabiashara hao kufanya biashara nje ya soko hilo lilitolewa na Mkuu…

Read More

Uzalishaji magari ya umeme Uganda mchongo kwa Tanzania

Uganda.  Wakati Uganda ikifungua kiwanda kutengeneza magari ya umeme, wadau wameeleza kuwa hatua hiyo ni fursa kwa nchi jirani ikiwemo Tanzania kupunguza matumizi ya fedha za kigeni zinazotumika kuagiza mafuta kila mara. Kiwanda hicho kwa kwanza Afrika kuzalisha magari ya umeme, Kiira Motors Coorporation (KMC), kinatarajiwa kuzalisha magari 5,000 kwa mwaka yatakayohusisha magari mabasi madogo…

Read More

Vivuko Kigamboni, zigo zito kwa Temesa-2

Dar/Mikoani. Kama umewahi kuhisi maumivu ya kutwishwa mzigo mzito zaidi ya nguvu zako, basi hali hiyo ndiyo inayoukabili Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa), katika jukumu la uendeshaji wa vivuko nchini. Temesa inatekeleza jukumu hilo kwa mujibu wa sheria ya kuanzishwa kwake ya mwaka 2005, inayotaka pamoja na majukumu mengine ya msingi, wakala huo uwajibike…

Read More