Hatari ya wazazi kubagua watoto

Katika kila familia, watoto ni zawadi ya kipekee yenye thamani isiyo na kifani. Kila mtoto huja duniani akiwa na vipaji, ndoto, na uwezo wa kuchangia kwa namna yake katika jamii. Hata hivyo, hali ya ubaguzi wa watoto imekuwa changamoto inayokua kwa kasi katika jamii nyingi. Wazazi na walezi, kwa kujua au kutojua, huonyesha upendeleo kwa…

Read More

TET, Aga Khan wawekeza katika elimu bora nchini

Dar es Salaam. Wataalamu 29 wa ukuzaji mitaala kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) wamehitimu mafunzo maalumu ya miezi mitatu yaliyoratibiwa na Aga Khan Education Services Tanzania. Lengo la mafunzo hayo ni kuboresha utoaji wa elimu shuleni na kuwawezesha wanafunzi kuchagua masomo yanayoendana na vipaji na uwezo wao binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika kwa njia ya…

Read More

Serikali kutafuta ufumbuzi biashara ya samaki

Dodoma. Serikali imeahidi kumaliza vikwazo vyote kwa wafanyabiashara wa mazao ya samaki, ikiwemo wanaosafirisha nje ya nchi ili biashara hiyo ilete tija kwa uchumi wa nchi. Ahadi hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Uvuvi nchini, Dk Baraka Sekadende jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na washiriki wa kongamano la tathimini baada ya utafiti kuhusu mazao ya samaki. Warsha…

Read More

TTB YAIONGOZA TANZANIA KUNG’ARA KATIKA MAONESHO MAKUBWA YA UTALII DUNIANI

Na Mwandishi Wetu  USHIRIKIwa Tanzania katika maonesho makubwa ya utalii duniani ITB Berlin nchini Ujerumani, umeelezwa kuwa wa mafanikio makubwa, huku ukitoa fursa pana ya kuitangaza nchi kama kitovu cha utalii barani Afrika na kufungua milango mipya ya biashara na uwekezaji katika sekta hiyo muhimu ya uchumi. Mafanikio hayo  yanatokana maonesho ambayo yanafanyika kila mwaka…

Read More

Israeli yaua wanajeshi sita wa Syria

Maofisa sita wa Jeshi la Syria wameuawa katika mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za Israel kusini mwa Damascus, kituo cha televisheni ya Serikali ya Syria, El Ekhbariyaimeripoti. Mashambulizi hayo yamefanyika ikiwa ni siku moja baada ya Syria kulaani kile ilichokiita “uvamizi wa kijeshi” mpya wa Israel, nje ya mji mkuu Damascus. Ndege zisizo na…

Read More

Shingo na misukosuko katika siasa hadi ubunge

Dar es Salaam.  Kama uliwahi kusikia kuhusu neno mapito magumu katika utumishi wa kisiasa, basi mbunge wa sasa wa Ukonga, Bakari Shingo ni miongoni mwa mifano sahihi ya watu waliopita katika njia hiyo hadi kushika wadhifa alionao. Shingo aliyeianza siasa miaka 33 iliyopita akiwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anasema aliwahi kujikuta…

Read More

Bashiri na Ushinde na Meridianbet Sasa

ALHAMISI ya leo ni nzuri sana endapo ikisindikizwa na jamvi la uhakika ndani ya Meridianbet. Timu kibao za kufuzu Europa zipo uwanjani hapo baadae kuhakikisha zinapata pointi tatu na wewe ondoka na pesa leo kwa dau lako dogo tuu. Bashiri mechi ya Kuopion Palloseura dhidi ya FC Midtjylland ya kule Denmark ambao mechi ya mkondo…

Read More

Kipimo cha usajili kipo robo fainali

WAKATI timu zikipambana kutafuta nafasi ya kucheza hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), hali inaonyesha timu itakayotoboa ni ile iliyofanya usajili wa wachezaji wenye viwango vikubwa. Hiyo imetokana na ushindani mkubwa uliokuwepo kwa timu tano, zinazo tafuta nafasi za kucheza robo fainali ambapo Dar City, Jeshi Stars…

Read More