Uhispania hufanya kesi hiyo kwa ufadhili wa maendeleo – maswala ya ulimwengu

Kwa miongo kadhaa, kusaidia nchi zilizoendelea kuendeleza kumeonekana kuwa na faida kwa jamii ya kimataifa kwa ujumla, na pia jukumu la nchi zilizo na rasilimali zaidi. Walakini, falsafa hii inapingwa na mataifa mengine tajiri, ambayo yameamua kupunguza au hata kumaliza fedha kwa miradi na mipango iliyoundwa iliyoundwa kusaidia nchi masikini za Global Kusini katika majaribio…

Read More

Kilichoiponza Geita kukumbwa na mafuriko hiki hapa

Geita. Uchunguzi uliofanywa na kamati ya maafa ya Wilaya ya Geita umebaini chanzo cha mafuriko yaliyotokana na mvua iliyonyesha kwa saa moja ni ujenzi kwenye njia za asili za kupita maji na uchafu kutupwa kwenye mitaro. Uchunguzi huo umewekwa hadharani Novemba 6, 2024 mjini Geita, ikiwa ni siku moja baada ya mafuriko hayo kutokea, huku…

Read More

Kocha Fountain Gate afariki dunia

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate Princess, Noah Kanyanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 26, 2025 jijini Dodoma baada ya kuugua ghafla. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Habari wa Fountain Gate, Issa Liponda ‘Mbuzi’ amesema Kanyanga alikuwa na changamoto ya kiafya muda mrefu iliyomsababishia kuugua ghafla na alipopelekwa hospitali usiku akafariki. Mbuzi ameongeza kuwa taratibu…

Read More

Serikali mjini Njombe yawataka wanaofanya biashara maeneo yasiyo rasmi kutoka kwa hiari

Serikali mjini Njombe imewataka wafanyabiashara wanaofanya biashara zao kwenye maeneo yasiyo rasmi kuondoa biashara zao kwa hiari kwa kuwa serikali imetenga maeneo rafiki kwa wafanyabiashara na wajasiriamali kwa ajili ya shughuli hizo. Wito huo umetolewa na mtendaji wa kata ya Njombe mjini Enocy Lupimo kwa niaba ya mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Njombe Kuruthum…

Read More

Uchumi mwiba kwa wanafunzi vyuoni

Dar es Salaam. Kupanda kwa gharama za maisha kumeathiri wanafunzi vyuoni nchini Tanzania, baadhi wakilazimika kuahirisha masomo. Wanaoathiriwa zaidi ni wanafunzi wanaotegemea msaada wa familia, ambao kunapotokea changamoto ya hali ngumu za kiuchumi huathirika. Kutokana na changamoto hizo, baadhi huahirisha masomo kwa muda ili kufanya kazi za muda mfupi au biashara ndogondogo ili kujikimu, hivyo…

Read More

Bares anataka Top Four Bara

KOCHA wa Mashujaa, Mohamed Abdallah ‘Bares’, ameweka wazi malengo yake kwa timu hiyo ya Ligi Kuu Bara, akisema anataka kumaliza msimu huu 2024/25 katika nafasi nne za juu. Kwa sasa, Mashujaa wanashika nafasi ya sita kwenye msimamo wa ligi, wakiwa na pointi 17 baada ya kushinda mechi nne, sare tano, na kupoteza tatu. Katika msimu…

Read More

WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO WIZARA YA MADINI

-Aitaka ifuatilie kampuni zilizoshika maeneo bila kuyaendeleza -Aipongeza kampuni ya Huaer International kwa uwekezaji. -Asisitiza uwekezaji huo ni utekelezaji wa Maono ya Rais Dkt. Samia WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Madini kufanya ufuatiliaji wa makampuni ya madini ambayo yameshilikilia maeneo kwa muda mrefu lakini hawajayaendeleza mpaka sasa yakiwemo makampuni matatu wilayani Ruangwa Mheshimiwa…

Read More