Huduma ya choo Stendi Kuu Mbeya kicheko, wananchi wapongeza na kushauri jambo

Mbeya. Miezi sita tangu Mwananchi kiripoti uhaba na uchakavu wa vyoo katika Stendi Kuu ya Mbeya, Halmashauri ya Jiji hilo limeboresha miundombinu hiyo huku wananchi wakipongeza hatua ya utekelezaji wa haraka. Julai 24, 2024 Mwananchi lilieleza changamoto wanazopitia wananchi wakiwamo wasafiri, wahudumu na watumiaji kwa ujumla wa stendi hiyo wanavyohangaika kupata huduma ya choo. Hata…

Read More

Kocha: Kichapo cha Pazi hakikuwa rahisi

BAADA ya Mchenga Star kuifunga Pazi kwa pointi 65-62 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam, kocha wa timu hiyo, Mohamed Yusuph  amesema haikuwa raisi kwa timu yake kuishinda timu hiyo. Yusuph ameliambia Mwanaspoti kuwa Pazi ilionyesha kiwango bora  katika robo zote nne. Alisema ushindi walioupata katika mchezo huo ulitokana na…

Read More

WAHITIMU JKT WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VIKUNDI VYA KIHALIFU

    MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea ‘Operesheni ya Miaka 60 ya JKT’, katika kikosi cha Jeshi cha 824 KJ Kanembwa wilayani Kakonko Mkoani Kigoma. MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akishuhudia kiapo cha utii cha…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO MKOANI MTWARA

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Dk. Hussein Mohamed leo tarehe 23 Februari 2025 ameafanya ziara Mkoani Mtwara iliyolenga kutembelea eneo linalotarajiwa kujengwa viwanda vya Kubangua Korosho. Uwekezaji huo ambao awamu ya kwanza inatarajiwa kugharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 300, unatekelezwa kwenye eneo la Maranje Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya ya Mtwara Mkoani humo….

Read More

Hospitali ya Rufaa TMK yapokea ambulance mbili

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke (TRRH) imepokea rasmi magari mawili ya kubeba wagonjwa, ambayo yamezinduliwa na Mhe. Dorothy Kilave, Mbunge wa Jimbo la Temeke. Ujio wa magari haya yanaenda kuboresha huduma za rufaa na za dharura zilizopo hospitalini hapo, na kufanya idadi ya magari ya kubeba wagonjwa kuwa matano. Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo,…

Read More

Gymkhana, Lugalo moto utakuwaka | Mwanaspoti

LITAKUWA ni juma lililosheheni shughuli nyingi kama mzinga wa nyuki kwenye viwanja vya Dar Gymkhana na TPDF Lugalo yatakakofanyika mashindano mawili makubwa ya kuukaribisha mwezi Agosti jijini, Dar es Salaam. Kwenye viwanja vya TPDF Lugalo, mwezi Agosti utakaribishwa na mashindano ya wazi ya KCB yatakayoshirikisha wachezaji kutoka klabu zote nchini na wachezaji wa jinsi zote…

Read More