Singida FG yaanza na kocha mpya

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeanza kufanyia tathimini ya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao huku kipaumbele cha kwanza ni kuhakikisha inampata kocha mzuri baada ya msimu huu kuandamwa na jinamizi la kuondoka kwa makocha wengi. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zililiambia Mwanaspoti, viongozi wameanza vikao kwa ajili ya kujadili mwelekeo wa msimu…

Read More

Dk Kimbokota: ‘Msijisahau, Ukimwi bado Upo’

Iringa. Naibu Rasi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (Muce), Dk Fikira Kimbokota amesema Ukimwi bado upo na kuwakumbusha wasomi kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi mapya. Amesema Muce imekuwa ikitenga bajeti kila mwaka kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa huo ili kudhibiti maambukizi mapya. Akizungumza na Mwananchi baada ya mafunzo kwa wahadhiri, wanafunzi…

Read More

Ubishi wa Fei Toto, Muda kumalizwa Amaan

FEISAL Salum ‘Fei Toto’ wa Azam na Mudathir Yahya wa Yanga, wote ni viungo wanaofanya vizuri katika timu zao ambazo leo Jumapili zinakwenda kucheza mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA). Mchezo huo ambao awali ulipangwa kuchezwa Karatu mkoani Manyara, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) likaona liuhamishe mpaka Zanzibar kwenye Uwanja wa New Amaan…

Read More

Kitambi aisikilizia Geita Gold | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Geita Gold iliyoshuka kwenda Ligi ya Championship, Denis Kitambi amesema hatima yake itaamuliwa na bodi ya timu baada ya kufanya tathmini ya kumalizika msimu, huku akichomoa kueleza msimamo wake. Geita imeshuka Ligi Kuu sambamba na Mtibwa Sugar baada ya kudumu kwa misimu mitatu ikimaliza nafasi ya 15, ikivuna pointi 25 kupitia mechi…

Read More

Dk Nchimbi atuma ujumbe kwa viongozi wa CCM, Serikali

Manyara. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk Emmanuel Nchimbi amesema viongozi wa chama hicho na wale wa Serikali wasioguswa na matatizo ya wananchi, hawatoshi kwenye nafasi hizo. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo Jumapili, Juni 2, 2024 katika eneo la Mijingu, Mkoa wa Manyara, akiwa njiani kuelekea mkoani Arusha kuendelea na ziara ya kufuatilia…

Read More

CCM yatakiwa kujifunza anguko la ANC Afrika kusini

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema Chama tawala Cha Mapinduzi (CCM), kinapaswa kijifunze kupitia anguko la chama tawala nchini Afrika Kusini (ANC), lililotokana na chama hicho kutojali matatizo ya wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Onyo hilo limetolewa leo tarehe 1 Juni 2024 na Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, akizungumza na vionglzi wa chama hicho…

Read More

Simulizi Katekista alivyoua, kutenganisha mwili vipande viwili-1

Njombe. “Baada ya kuona amekufa, mimi nilichukua panga na kuanza kumkata kuanzia kiunoni nikamtenganisha mara mbili,” hayo ni maelezo ya Katekista Daniel Mwalango wa kigango cha Makambako cha Kanisa Katoliki, akisimulia alivyomuua Nickson Myamba. Ni simulizi ambayo itakuacha mdomo wazi hasa ikizingatiwa kuwa Katekista huyo ni kiongozi wa kiroho anayehubiri waumini kutotenda dhambi na kuwa…

Read More