Isanzu, Nathwani, vitani tena Arusha Open

NI vita ya kisasi kati ya Ally Isanzu anayeongoza mbio za ubingwa wa Lina PG Tour na vijana watatu kutoka Arusha; Jay Nathwani, Garv Chadhar na Aliabas Kermali walioichafua rekodi yake ya kutoshindwa katika viwanja vya Arusha Gymkhana. Isanzu anapambana tena na vijana hao katika mashindano ya wazi yajulikanayo kama Arusha Open ambayo yanaanza katika…

Read More

WANANCHI WAMLAZIMISHA MBUNGE KUNYWA MAJI MACHAFU

  Na Nasra Ismail Wananchi wa Kijiji cha Mwamboku Kata ya Kashishi ,wamelazimika kumpelekea Mbunge wa Jimbo la Msalala Iddi Kassim Iddi maji ambayo wanatumia kwa sasa huku wakimuomba kushughulikia tatizo la upatikanaji wa maji kwenye kijiji chao kwani maji wanayotumia  wanatumia pamoja na mifugo. Wananchi hao wamefikisha kilio chao kwenye mkutano wa hadhara ambao…

Read More

Rais Samia kunogesha tamasha la Utamaduni

RAIS wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Utamaduni litakalofanyika mkoani Ruvuma katika viwanja vya Maji Maji kuanzia Julai 20-27 mwaka huu. Hayo yamewekwa wazi na Naibu waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, katika uzinduzi rasmi wa tamasha hilo uliofanyika juzi jijini Dar es Salaam….

Read More

MRADI WA KABANGA NICKEL WAVUTIA UWEKEZAJI MKUBWA KUTOKA KAMPUNI ZA AUSTRALIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amefanya mazungumzo na viongozi wa kampuni ya madini ya BHP, inayotarajia kushirikiana na Lifezone Metal kuwekeza katika mradi wa uchimbaji madini ya Nickel, Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera. Mradi wa Kabanga Nickel, unaosimamiwa na Tembo Nickel, unatarajiwa kugharimu Dola Bilioni 2.2 za Marekani. Kati ya hizo, Dola…

Read More

VITONGOJI 9000 KUSAMBAZIWA UMEME MWAKA 2025/2026- KAPINGA

 ****** *📌 Majimbo yaendelea kufaidika na mradi wa umeme wa Vitongoji 15.* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kazi ya kupeleka umeme kwenye Vijiji vyote Tanzania Bara na nguvu sasa inaelekezwa kwenye vitongoji. Mhe. Kapinga ameeleza kuwa, pamoja na kazi ya kupeleka umeme vitongojini inayoendelea…

Read More

Kuanzia Januari 2025, vivuko vitakuwa vinasubiria abiria, Sea Tax kuongezwa Dar: Bashungwa

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa kushirikiana Kampuni ya Azam Marine zinaendelea kuboresha utoaji wa huduma za usafiri wa vivuko katika eneo la Magogoni – Kigamboni jijini Dar es Salaam ambapo kufikia mwezi Januari 2025 vitaongezwa vivuko vidogo (sea tax) kufikia sita (6) ambapo ushirikiano…

Read More

DKT MWASE – AHIMIZA UPANDAJI WA MITI NA KUISIMAMIA KATIKA UKUAJI WAKE MPAKA IWE MIKUBWA

Mkurugenzi wa wa Shirika la Taifa la Madini Tanzania (STAMICO) Dkt Venance Mwase akipanda miti katika eneo la Amboni Jijini Tanga lililoratibiwa na Wanawake na Samia Mkoa wa Tanga lililokwenda sambamba na kutambulisha Nishati Safi mbadala ya  Rafiki Briquettes.   Mkurugenzi wa wa Shirika la Taifa la Madini Tanzania (STAMICO) Dkt Venance Mwase akipanda miti katika eneo…

Read More