Hatua kwa hatua kinachoendelea mgomo wa Kariakoo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara katika soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam wamegoma kufungua maduka yao leo Jumatatu, Juni 24, 2024 ikiwa ni mgomo uliotangazwa kufanyika. Taarifa ya mgomo huo usio na kikomo zilianza kujulikana kupitia mitandao ya kijamii, baada ya kusambaa kwa vipeperushi vilivyowataka wafanyabiashara kutofungua maduka hayo kuanzia leo. Licha ya viongozi wa…

Read More

Simba SC Mpya inakuja, Mpanzu aikataa AS Vita

SIMBA inaendelea kusuka upya kikosi chake na sasa imeonyesha jeuri ya pesa katika kuwania saini ya winga wa kulia Elie Mpanzu (22), kutoka AS Vita ya DR Congo. Mwanaspoti lilikuwa la kwanza kutoa taarifa ya Simba kuwa kwenye mazungumzo na Mpanzu kutaka saini yake na huu ni mwendelezo wa dili hilo lilipofikia. Jana mastaa wa…

Read More

Dk Nchimbi atua Mtwara, kutembelea kaburi la Mkapa

Masasi. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewasili Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kuanza ziara ya siku nne katika mikoa ya Mtwara na Lindi. Dk Nchimbi amewasili katika uwanja wa ndege wa Masasi leo Jumapili Julai 28, 2024 na kupokelewa na viongozi wa CCM Mkoa wa Mtwara pamoja na mamia ya…

Read More

WAZIRI MKUU ASEMA LISHE BORA NI KIPAUMBELE CHA SERIKALI

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa suala ya lishe ni kipaumbele muhimu kwa Serikali katika kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo na shughuli za kiuchumi kwa jamii jamii zikiwemo za kilimo, uvuvi, ufugaji na biashara. Amesema hayo leo (Alhamisi, Oktoba 03, 2024) wakati alipofunga Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wadau wa Lishe kwenye ukumbi wa…

Read More

Beki azichonganisha Azam, Ihefu | Mwanaspoti

AZAM FC imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya beki kiraka, Natahaniel Chilambo lakini wakati hilo likitokea, Ihefu imeibuka ghafla na kuonyesha nia ya kumhitaji mlinzi huyo wa zamani wa Ruvu Shooting. Uongozi wa Ihefu unafahamu fika kuwa mkataba wa Chilambo na Azam FC utafikia tamati mwishoni mwa msimu huu hivyo kikanuni inaruhusiwa kufanya mazungumzo naye…

Read More

Nchi za Afrika Mashariki zaongeza bajeti

Dar es Salaam. Mawaziri wa Fedha wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),leo wamewasilisha bajeti kwenye mabunge ya mataifa yao,  huku Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) ikikadiria ukuaji wa uchumi kwenye ukanda huo kutoka asilimia 3.5 mwaka jana hadi asilimia 5.1 mwaka huu na asilimia 5.7 mwaka 2025. EAC inaundwa na nchi nane…

Read More

Durant kumpa namba Tatum | Mwanaspoti

KATIKA hiyo timu ya Taifa ya Marekani ya mchezo wa kikapu (Team USA) kuna shughuli pevu ya wachezaji unaambiwa, kuelekea michuano ya Olimpiki nchini Ufaransa ambapo imejaa mastaa unaowajua wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA). Kuanzia LeBron James, Steph Curry, Jayson Tatum, Anthony Edwards, Anthony Davis, Kevin Durant, Jrue Holiday na Joel Embiid ambao ndani…

Read More

UDSM yatakiwa kupanua wigo wa utafiti, ubunifu

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Franklin Rwezimula amekitaka Chuo Kikuu cha Dar es Dar es Salaam (UDSM), kupanua wigo wa wiki ya utafiti na ubunifu kwa kushirikisha washirika wa utafiti ambao tafiti zao zimesajiliwa na zina uhusiano na idara mbalimbali za kitaaluma. Amesema matokeo ya tafiti…

Read More