
LALJI FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIUNGO BANDIA HOSPITALI YA CCBRT
Jamii imeaswa kujenga utamaduni wa kutoa msaada kwa watu wenye mahitaji maalumu ikiwepo watu wenye mahitaji ya viungo bandia kutokana na gharama ya upatikanaji wa viungo hivyo na wenye uhitaji kushindwa kumudu gharama. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya LALJI FOUNDATION Bi. Fatma Mussa wakati akikabidhi msaada wa viungo bandia kwa wagonjwa…