
Lissu ‘atia mguu’ jimbo la Mwigulu
Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameanza ziara ya wiki tatu Mkoa wa Singida ambako atafanya mikutano ya hadhara katika kata zote kwenye kila wilaya. Lissu ambaye ameongozana na viongozi kadhaa wa chama hicho, akiwamo Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema (Bazecha), Hashim Juma wameanza na Jimbo la Iramba Magharibi linaloongozwa…