Shaba yawa adhimu, sekta ya madini ikipaa

Madini ya shaba yanazidi kuibuka kwa kasi kuwa fursa kubwa katika sekta ya madini Tanzania, huku kupanda kwa bei na mahitaji duniani kukiyaweka madini haya kama rasilimali ya kimkakati yenye uwezo wa kushindana na dhahabu katika kuchochea mabadiliko ya kiuchumi nchini. Pamoja na ukuaji wake mzuri katika soko la dunia, wataalamu wanasema Tanzania kihistoria imeweka…

Read More

TPA yatekeleza maagizo ya Bodi ya TASAC Bandari ya Nyamisati

*Mkurugenzi Mkuu TASAC asema zaidi ya Bilioni Mbili kununua boti za Uokozi Na Chalila Kibuda ,Rufiji Bodi ya Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) imesema maagizo walioyatoa kwa Mamlaka ya Bandari (TPA)katika Bandari ya Nyamisati yametekelezwa kwa asilimia 95. Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya ziara ya Bodi hiyo katika Bandari ya Nyamisati…

Read More

WAZIRI JAFO APONGEZA UWEKEZAJI KIWANDA CHA SUKARI KILOMBERO

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,akikagua kiwanda cha sukari Kilombero kilichopo mkoani Morogoro mara baada ya kutembelea kiwanda hicho leo Julai 31,2024. Na Mwandishi Wetu, MOROGORO Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo leo ameupongeza uongozi wa kiwanda cha sukari Kilombero kilichopo mkoani Morogoro kwa uwekezaji mkubwa na kwasasa kinafanyiwa upanuzi mkubwa…

Read More

Dar kinara watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani

Dodoma. Mkoa wa Dar es salaam umetajwa kuwa kinara kwa kuwa na idadi kubwa ya watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani ikifuatiwa na mikoa ya Dodoma, Mwanza, Mbeya, Arusha na Iringa huku mikoa inayoongoza kuchangia maeneo ya miji kuwa na watoto zaidi ni Kagera, Geita, Kigoma, Dodoma, Mwanza na Shinyanga. Aidha katika kipindi cha Julai…

Read More