Jaji Tiganga ataka ushiriki wa sekta binafsi udhibiti taka ngumu

Arusha. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, Joachimu Tiganga ameitaka Serikali kuishirikisha sekta binafsi na kuweka mazingira wezeshi ya kusaidia katika udhibiti wa taka ngumu zinazozagaa mitaani. Jaji Tiganga amesema kuwa zaidi ya tani milioni saba za taka ngumu zinazozalishwa nchini, ni asilimia 35 pekee ndizo zinazokusanywa na kuteketezwa, huku zingine…

Read More

Chadema Morogoro mjini wapata viongozi wapya

Morogoro. Baada ya vuta nikuvute ya uchaguzi viongozi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Morogoro mjini, hatimaye chama hicho kimepata viongozi wapya wa jimbo na mabaraza watakaoongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo leo Juni Mosi, 2024, msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu na operesheni kamanda…

Read More

Kilio cha barabara na maji chamgusa Dk Tulia

Mbeya. Diwani wa Kata ya Ilemi jijini Mbeya, Angelo Magoma amempokea Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson kwa kilio cha barabara na maji akieleza kuwa wananchi wana manung’uniko mengi na wanatishia kuandamana kutokana na changamoto hiyo. Magoma amesema hayo leo Juni 1 wakati Dk Tulia alipofika kata hiyo kusalimiana na wananchi na kukutana kero hiyo,…

Read More

Wafugaji watajwa tembo kuvamia makazi ya watu

Dodoma. Wakati vilio vya wanyama waharibifu wakiwemo viboko, tembo na nyani kuvamia makazi ya watu vikisikika bungeni, wafugaji wanatajwa kuchangia hali hiyo. Wabunge pia wamepigia kelele fidia kwa wananchi wanaopata madhara kutokana na wanyama hao, wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2024/25. Wamechangia mjadala…

Read More

Mwakinyo mambo magumu, msimamizi WBO atoa masharti haya

Hali bado si shwari kwa bondia Hassan Mwakinyo, kutokana na tukio la kushindwa kupanda ulingoni jana usiku kuzipiga na  Mghana, Patrick Allotey kutetea ubingwa wa WBO Afrika. Mwanaspoti linalofuatilia kikao cha kujadili mipangto ya pambano hilo kurudiwa baada ya kukwama jana jiji Dar es Salaam kilikuwa hakijatoa muafaka hadi muda huu, kwani bado kuna mvutano…

Read More