Masikini Mdamu bado anataabika, anahitaji msaada

JE, unataka kujua maisha ya aliyekuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu yanaendeleaje kwa sasa, Mwanaspoti limefanya mahojiano naye maalum kwa kumtembelea nyumbani kwake Kimara Bonyokwa, Jijini Dar es Salaam ambako  amefunguka mambo mengi. Kwa mdau au taasisi inayopenda kumsaidia Mdamu kwa fedha, vifaa tiba au matibabu wawasiliane naye mwenyewe kupitia namba yake;  0655-670101(itasoma…

Read More

Siri kupungua vifo vitokanavyo na uzazi Tanzania

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameeleza hatua zilizochukuliwa na Serikali, namna zilivyochangia kupunguza vifo vya mama na mtoto. Tanzania imefanikiwa kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi kwa asilimia 80 kutoka 556 mwaka 2016/2017 mpaka kufikia vifo 104 mwaka 2022 kwa kila vizazi hai 100,000. Dk Mpoki Ulisubisya ndiye alianza kuelezea hatua hizo, akirejea alipokuwa Katibu…

Read More

Mashirika ya Umoja wa Mataifa yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano kwani vita vinazidisha hali mbaya – Masuala ya Ulimwenguni

Shambulio jipya la anga la Israel limepiga mpaka wa Joussieh, ambapo watu wengi wa Lebanon na Syria wanavuka ili kuepuka ghasia hizo. “Miundo ya kibinadamu pia imepigwa,” alisema Filippo Grandi, mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi. UNHCRkatika mtandao wa kijamii chapisho Jumamosi mapema. “Hata kukimbia (na kutunza wale wanaokimbia) inakuwa vigumu…

Read More

Ukimleta ndugu yako mjini mwambie haya

Mwaka unaisha, kwa sisi waswahili hiki ndio kipindi cha kuchukua ndugu zetu, watoto wa dada zetu, wa shangazi na wa wajomba zetu kutoka vijijini kuwaleta mjini kuwafundisha maisha ili wajijenge kama sisi ambavyo tuliletwa mjini tukajijenga. Kushikana mikono ni utamaduni mzuri sana, lakini kama kawaida ya mtu anapokwenda kwenye mazingira mapya, lazima apate maelekezo ya…

Read More

Warundi wamo, sasa ni nchi tano Guru Nanak

DEREVA kutoka Burundi, Imtiaz Din na msoma ramani wake Allen Rukundo ndiyo ingizo jipya katika mbio za magari za Guru Nanak zitakazofanyika Arusha Novemba 16 na 17 mwaka huu. Uthibitisho wa madereva hawa kutoka Burundi unaifanya Guru Nanak Rally kuwa ni mashindano yatakayoshirikisha nchi tano za Afrika Mashariki wakiwemo wenyeji Tanzania. Kwa mujibu afisa mawasilkiano…

Read More

Msyria mbaroni kwa kutaka kuwauwa wanajeshi Ujerumani – DW – 13.09.2024

Waendesha mashtaka wa mjini  Munich wamesema kijana huyo  anayedaiwa kuwa mfuasi wa itikadi kali za kiislamu amekamatwa kwa tuhuma za kupanga tukio baya la vurugu ambazo zingehatarisha usalama. Wameeleza kuwa hivi karibuni mtu huyo alinunua visu vikubwa viwili vyenye urefu wa karibu sentimita arobaini. Kijana huyo anadaiwa kuwa alipanga kufanya tukio hilo katika mji wa Hof Kaskazini…

Read More