Yanga yamvutia waya Baleke | Mwanaspoti

KUNA usajili wa kushtua unaoweza kujitokeza kwenye dirisha lijalo la usajili wa Ligi Kuu Bara. Jean Baleke kwenda Yanga. Mkongomani huyo ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya Al-Ittihad ya Libya, aling’ara na Simba na kutema kwenye dirisha dogo huku mashabiki wakijiuliza bado ni nini kimetokea. Endapo kama dili la Baleke likiti, basi straika wao Joseph…

Read More

Sowah awapiga bao Dube, Ahoua

KATIKA msimu huu wa Ligi Kuu Bara vita ya ufungaji imekuwa kali zaidi kuliko misimu uliopita kwa wachezaji wengi kuibuka na kuonyesha makali – mmoja kati yao akiwa ni Jonathan Sowah wa Singida Black Stars. Takwimu zinaonyesha mshambuliaji huyo ndiye mwenye ufanisi mkubwa katika kufumania nyavu akiwa amefunga mabao mengi ndani ya muda mfupi ukilinganisha…

Read More

NMB wapiga tafu mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf

  BENKI ya NMB imekabidhi udhamini wa vifaa vya michezo kwa ajili ya wachezaji 150 wanaotarajia kushiriki mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea). Michuano hiyo inayotarajia kuanza kutimua vumbi kwa siku mbili kuanzia Septemba 21-22, 2024 katika viwanja vya Kili Golf vilivyoko Mkoani Arusha yana lengo la kuchangisha…

Read More

NBAA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KWENYE MAADHIMISHO YA KITAIFA YA ELIMU – MWANAHARAKATI MZALENDO

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imejipanga kuhakikisha inaendelea kutoa Elimu kwa wananchi katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, ujuzi na ubunifu mwaka 2024 yenye kauli mbiu isemayo “Elimu, ujuzi na ubunifu kwa uchumi shindani” yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.   Ameyasema hayo Afisa Uhusiano na Mawasiliano…

Read More

GGML inavyowezesha walemavu Geita – MICHUZI BLOG

KATIKA mazingira ya kupendeza ya Mkoa wa Geita, iko habari njema yenye kutia matumaini kwa waliokata tamaa na pengine kutengwa na jamii. Shujaa wa habari hii ni Mgodi wa Dhahabu wa Geita, kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita na Baraza la Dhahabu duniani (WGC), wanaendesha mradi wa kusaidia…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Gift, Yanga SC kitaeleweka tu

Uongozi wa Yanga huenda ukaachana na beki wa kati wa kikosi hicho Mganda, Gift Fred, licha ya kubakisha mkataba wa miaka miwili. Beki huyo aliyejiunga na Yanga Julai 7, mwaka jana akitokea SC Villa ya Uganda, inaelezwa anaweza kuvunjiwa mkataba uliosalia ambao utafikia tamati Juni 30, 2026 ili kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni ambao…

Read More