MisaTan: Vyombo vya habari vitoe elimu ya uchaguzi

Dar es Salaam. Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, asasi mbalimbali za kiraia pamoja na vyombo vya habari nchini vimetakiwa kushirikiana kuhakikisha elimu ya uraia na ushiriki katika masuala ya uchaguzi inafika kwa wananchi bila kuweka kando kundi lolote. Wito huo umetolewa  Mei 31 na Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyombo vya Habari…

Read More

Kompany, mazalia ya Pep yasikushangaze sana

MDOMO wazi? Kwamba? Vincent Kompany ni kocha mpya wa Bayern Munich? Kashangae vitu vingine. Hili halishangazi sana. Dunia inazunguka katika mhimili wake na wanadamu wapo kazini wakiendelea kumuamini mtu anayeitwa Pep Guardiola pamoja na mazalia yake. Wengi wameshangaa hili. Mtu ambaye ameishusha Burnley daraja, lakini sasa ameteuliwa kuwa kocha wa Bayern Munich, moja kati ya…

Read More

Serikali ya mseto yanukia Afrika Kusini baada ya ANC kuanguka

Vyama vya siasa nchini Afrika Kusini, vimeanza mazungumzo ya kujaribu kutengeneza muungano utakayowezesha kuunda Serikali ya mseto. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hatua hiyo inakuja wakati huu chama tawala cha ANC kikionekana kupoteza idadi kubwa ya viti kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 30. Licha ya kuwa chama hicho cha muasisi wa…

Read More

Mitambo ya umeme Kidatu na Mtera kufanyiwa ukarabati

Ifakara. Katika kuhakikisha kuwa Umeme unapatikana kwa uhakika Naibu Waziri Mkuu Dk Doto Biteko amesema Serikali imeanza ukarabati wa mitambo ya kufua umeme katika kituo cha Kidatu na Mtera mkoani Dodoma. Dk Biteko amesema hayo leo Jana Mei 31, 2024 wakati wa uzinduzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme kwenye gridi ya Taifa  kilichopo…

Read More

Dk. Mpango aongoza zoezi la usafi Ilala, atoa maagizo 5

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango leo Jumamosi ameongoza viongozi pamoja na wananchi mbalimbali wa Mkoa wa Dar es Salaam katika zoezi la usafi wa mazingira lililofanyika soko la Ilala linalotumika kwa biashara mbalimbali ikiwa ni kuelekea katika maadhimisho ya siku ya mazingira duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza baada ya kufanya usafi, Makamu…

Read More

Dk Mpango ataka punguzo bei ya gesi

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameziomba kampuni za gesi nchini kupunguza bei ili Watanzania wengi waweze kutumia nishati safi. Dk Mpango amebainisha hayo jana Mei 31, 2024 alipohudhuria kongamano lililoandaliwa Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) jijini Dar es Salaam. “Kama wadau wetu, tutazidi kuwaomba muendelee kupunguza…

Read More