ZAIDI YA WASHIRIKI 2000 KUSHIRIKI JUKWAA LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI DODOMA

 NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Mwanaidi Ali Khamis,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Septemba 4,2024 kuelekea Jukwaa la Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali litakalofanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 mwaka  2024 jijini Dodoma. MSAJILI wa Mashiriki yasiyokuwa ya Kiserikali Bi.Vickness Mayao,akijibu maswali yaliyoulizwa  na waandishi wa habari (hawapo…

Read More

Jiji la Mbeya laagiza meneja, mkandarasi mradi wa Sh21 bilioni kuondolewa

Mbeya.  Halmashauri ya Jiji la Mbeya limeiagiza  Kampuni ya Cico kuwaondoa maneja mradi, Penfeng Wang na Mkandarasi Mshauri, Jofrey Kanjanja kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao na kusababisha miradi kusuasua. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Mei 23, 2024 ofisini kwake, Meya wa Jiji la Mbeya, Dourmohamed Issa amesema wamelazimika kuchukua hatua hiyo baada ya kufanya…

Read More