
MATUMIZI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUCHOCHEA MAENDELEO ENDELEVU_ MAJALIWA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa,akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu jijini Tabga ……… #Akoshwa na Ubora wa Maonesho Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amesema rasilimali watu yenye elimu, ujuzi, weledi na maarifa ndio msingi…