Babalevo apigania masharti nafuu mikopo ya vijana

Dodoma. Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM) Clayton Chipando maarufu Babalevo amesema vijana wa Tanzania wanataka fedha, hawataki konakona. Babalevo amesema hayo bungeni leo Jumanne Februari 3, 2026 wakati akichangia mapendekezo ya mpango wa Serikali uliowasilishwa bungeni na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo. Mbunge huyo amesema masharti mengi yanawekwa na taasisi za ukopeshaji…

Read More

Mbunge wa zamani Munde afariki dunia, kuzikwa kesho

Tabora. Mbunge wa zamani wa wa viti maalumu (CCM), mkoa wa Tabora, Munde Tambwe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam  alipokuwa akipatiwa matibabu. Mwili wa Munde ambaye amewahi Halmashauri Kuu (NEC) unasafirishwa leo kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mkoa wa Tabora ambako maziko yatafanyika kesho…

Read More

SIKU 100 ZA RAIS SAMIA: BILIONI 69 ZA REA KUNUFAISHA VITONGOJI 634 MKOANI RUVUMA

-Mradi unatekelezwa kwa Miaka Mitatu Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi kabambe wa shilingi bilioni 69 wa kusambaza umeme katika vitongoji 634 utakaonufaisha wateja wa awali 20,328 Mkoani Ruvuma. Meneja Usimamizi wa Miradi ya Kusambaza Umeme wa REA, Mhandisi Deogratius Nagu amebainisha hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan…

Read More

TPC YAREJESHA SOKONI HUDUMA YA SWIFPACK

BAADA ya kusimama kwa muda kufuatia mchakato wa maboresho ya kiufundi na kiuendeshaji, huduma ya kidijitali ya usafiri na usafirishaji wa mizigo ya Swifpack, inayomilikiwa na Shirika la Posta Tanzania -TPC, imerejea rasmi, ikiwa na mabadiliko yanayolenga kuimarisha utoaji wa huduma na kukabiliana na mahitaji ya sasa ya watumiaji katika sekta ya usafiri na usafirishaji….

Read More

Wabunge waibua kilio miradi kutokamilika, rushwa ikitajwa

Dodoma. Hofu, rushwa na utitiri wa miradi vimetajwa kuwa kikwazo cha kukwamisha miradi mingi nchini huku Serikali ikielezwa kuwa, kwenye utekelezaji wake wahusika hawaongei lugha moja. Mambo hayo yameibuliwa na wabunge leo Jumanne Februari 3, 2026 wakati  wakichangia mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa mwaka 2026/27 hadi 2030/31 na ya mwaka 2026/27. Julai…

Read More

Kundi la 77 – Linalowakilisha Mataifa 134, Pamoja na Uchina – Kupunguzwa kwa Ufadhili wa Maandamano kwa Ushirikiano wa Kusini-Kusini – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: UN/Moniah Aturinda Kyeyune na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Jumanne, Februari 03, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Februari 3 (IPS) – Kupunguzwa kwa kasi kwa fedha kwa ajili ya “Ushiŕikiano wa Kusini-Kusini” (UNOSSC) kumesababisha maandamano makubwa kutoka Kundi la wanachama 134 la 77 (G-77), linaloelezewa kuwa shiŕika kubwa zaidi la seŕikali la…

Read More

Kinachoibeba Bandari Tanzania First League

MTENDAJI Mkuu wa klabu ya Bandari Tanzania, Ismail Chempele amesema maandalizi makubwa waliyofanya mwanzo wa msimu yakijumuisha usajili bora wa kikosi, benchi la ufundi, bajeti nzuri na mazingira salama ya kambi, ndiyo siri ya ubora walionao kwenye michuano ya First League. Timu hiyo ambayo iko Kundi A la First League, imemaliza mzunguko wa kwanza kwa…

Read More