UNEA-7: Ilichojifunza Tanzania kutokana na urithi wa Wangari Maathai, kutetea haki na mazingira

Nairobi. Kwenye kikao cha saba cha Baraza la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEA-7) kinachoendelea Nairobi nchini Kenya, viongozi na wadau wametoa wito kwa nchi za Afrika, ikiwamo Tanzania, kujifunza kutokana na urithi wa Wangari Maathai wa Kenya, ambaye alipambana kuunganisha amani, demokrasia, haki za binadamu na uhifadhi wa mazingira. Kutokana na juhudi hizo mwaka…

Read More

BARRICK BUZWAGI YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI MIRADI YA KUSAIDIA JAMII NA YENYE KULETA MAENDELEO ENDELEVU

Naibu Meya wa Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, Shaban Mikongoti (aliyevaa suti ya bluu),akizungumza alipofanya ziara kwenye mradi ujenzi wa chujio la maji ya mvua linalojengwa katika Kata ya Mwendakulima unaotekelezwa kwa ufadhili wa Barrick Buzwagi kwa ushirikiano na Serikali. Naibu Meya wa Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, Shaban Mikongoti (aliyevaa suti ya bluu),akipata maelezo…

Read More

Rais Samia amlilia Jenista Mhagama

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, amepokea kwa masikitiko kifo cha mbunge wa Peramiho (CCM), Mkoa wa Ruvuma, Jenista Mhagama kilichotokea leo Alhamisi Desemba 11, 2015 jijini Dodoma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma na Kitengo cha Mawasiliano na Elimu kwa Umma, Ofisi ya Bunge, Spika wa Bunge, Mussa Zungu…

Read More

Mwekezaji Mtanzania aula mradi wa Sh2.2 trilioni Zambia

Zambia. Amsons Group, moja ya makampuni makubwa ya nishati na viwanda kutoka Tanzania, imetangaza ushirikiano mkubwa wa kimkakati na kampuni ya Exergy Africa Limited ya Zambia kwa ajili ya kuendeleza kwa pamoja miradi mipya ya uzalishaji umeme yenye jumla ya megawati 1,300. Mradi huo wenye thamani ya Dola za Marekani 900 milioni (Sh2.2trilioni) utahusisha MW…

Read More

Namna ya kumjengea mtoto nidhamu ya pesa

Katika mazingira ya maisha yanayobadilika kila siku, swali muhimu ambalo wazazi wengi hujiuliza ni hili: Je, tunawaandaa watoto wetu kukabiliana na changamoto za kiuchumi za kesho? Gharama za maisha zinaongezeka, matumizi ya pesa kwa njia za kidijitali yanakuwa ya kawaida, na watu wengi hujikuta bado wanalipa madeni wakiwa watu wazima. Katika hali kama hii, elimu…

Read More