DK.SAMIA AMWAGIA SIFA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKIOMBA KURA RUANGWA

*Amshukuru kwa ushirikiano, kujituma,uzalendo wake kwa wakati wote wakifanyakazi pamoja.  *Azungumzia pia maendeleo yaliyopatikana Ruangwa katika miaka mitano iliyopita  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruangwa MGONBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewashukuru wananchi wa Jimbo la Ruangwa mkoani Lindi kwa kumchagua Kassim Majaliwa kuwa mbunge wao kwa kipindi cha miaka 15. Akizungumza…

Read More

Eneo korofi la ‘Kwa Kichwa’ Zingiziwa lakumbukwa

Dar es Salaam. Eneo korofi maarufu ‘Kwa Kichwa’ lililopo Kata ya Zingiziwa, Mtaa wa Ngobedi, Wilaya ya Ilala, limeanza kutengenezwa baada ya muda mrefu kuwa kero kwa wakazi, hasa msimu wa mvua. Kwa muda mrefu eneo hilo limekuwa likijaa maji na kuathiri shughuli za kiuchumi na kijamii, huku wakazi wakishindwa kuvuka na kulazimika kulipa kati…

Read More

WAANDISHI WA HABARI SHINYANGA WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO KATIKA ULINZI WA HAKI ZA BINADAMU

    Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Nyanda Shuli, akizungumza wakati akifungua mafunzo kwa waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga kuhusu haki na wajibu wao katika kipindi cha uchaguzi.  Na Kadama Malunde – Shinyanga Waandishi wa habari mkoani Shinyanga wametakiwa kuzingatia weledi, maadili na kutokuegemea upande wowote wakati wa kuripoti…

Read More