
DK.SAMIA AMWAGIA SIFA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKIOMBA KURA RUANGWA
*Amshukuru kwa ushirikiano, kujituma,uzalendo wake kwa wakati wote wakifanyakazi pamoja. *Azungumzia pia maendeleo yaliyopatikana Ruangwa katika miaka mitano iliyopita Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruangwa MGONBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewashukuru wananchi wa Jimbo la Ruangwa mkoani Lindi kwa kumchagua Kassim Majaliwa kuwa mbunge wao kwa kipindi cha miaka 15. Akizungumza…