Wasira aonya hasira na vinyongo vya uchaguzi, ahimiza amani

Geita. Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira amewataka viongozi na makada wa chama hicho kuachana na vinyongo na hasira iliyosababishwa na uchaguzi mkuu uliopita na badala yake waunganishe nguvu katika kuijenga nchi. Wasira amesisitiza kuwa viongozi wanaoomba kuchaguliwa katika nyadhifa za uongozi ndani ya chama hicho, wana wajibu wa kujifunza na kuielewa misingi ya…

Read More

TANZANIA NA CHUO KIKUU CHA LIMERICK WASAINI MAKUBALIANO YA UFADHILI WA SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED

SERIKALI ya Tanzania na Chuo Kikuu cha Limerick cha nchini Ireland wamesaini hati ya makubaliano ya utekelezaji wa ufadhili wa Samia Scholarship Extended, utakaosomesha wanafunzi 32 kwenye chuo hicho. Makubaliano hayo yamefanyika leo Machi 26, 2026 jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda pamoja na ujumbe kutoka…

Read More

CCM kushughulikia watumishi wanaokwamisha miradi

Bukoba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitachukua hatua kali kwa watumishi na viongozi wa Serikali wanaoshindwa kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini kwa kutumia fedha za Serikali, na kusababisha uwepo wa miradi ya ovyo. Hatua hizo zitachukuliwa kwa viongozi na watumishi hao wa umma bila kujali cheo au jina la kiongozi husika,…

Read More

Wanawake wa Mvomero, Kilosa kuwezeshwa kiuchumi

Dar es Salaam. Vikundi vya akiba na mikopo (Vicoba) katika wilaya za Mvomero na Kilosa mkoani Morogoro vimejiandaa kunufaika na fursa ya mikopo itakayotolewa na Taasisi ya fedha ya VisionFund Tanzania Microfinance Bank kwa kushirikiana na Norwegian Church Aid (NCA). Mikopo hiyo ambayo ina riba ndogo, itawawezesha wanawake katika vikundi hivyo kuendeleza shughuli zao za…

Read More

𝐙𝐈𝐌𝐄𝐒𝐀𝐋𝐈𝐀 𝐒𝐈𝐊𝐔 𝐂𝐇𝐀𝐂𝐇𝐄 𝐊𝐔𝐅𝐈𝐊𝐈𝐀 𝐔𝐊𝐎𝐌𝐎 𝐖𝐀 𝐓𝐀𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈 𝐊𝐔𝐉𝐈𝐒𝐀𝐉𝐈𝐋𝐈 𝐏𝐃𝐏𝐂

****** Zimesalia siku chache kabla ya kufikiwa kwa ukomo wa usajili wa hiari kwa taasisi zinazokusanya na kuchakata taarifa binafsi nchini. Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imetangaza kuwa ifikapo tarehe 9 Aprili mwaka huu, itaanza kuchukua hatua kali za kisheria ikiwemo faini ya hadi shilingi bilioni tano kwa taasisi zitakazokiuka taratibu hizo. Tume…

Read More

TRA yaja na utaratibu kudhibiti magendo mafuta ya kula

Dar es Salaam. Wakati malalamiko ya bei na upatikanaji wa mafuta ya kula yakiendelea kujitokeza mara kwa mara nchini, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kuchukua hatua kudhibiti biashara ya bidhaa hiyo kwa kuanzisha utaratibu maalumu wa kuingiza mafuta ya kupikia kutoka Zanzibar kwenda Tanzania Bara. Hatua inayolenga kuziba mianya ya magendo na ukwepaji wa…

Read More