TBL yaja na mpango kupunguza matumizi ya maji katika uzalishaji wa bia
Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Maji Duniani, Kiwanda cha Tanzania Breweries Limited (TBL) kimeweka mkakati wa kupunguza matumizi ya maji kwenye uzalishaji wa bia na kuhakikisha yote yanayotumika yanachakatwa kabla ya kurejeshwa kwenye mazingira. Kampuni hiyo imekuja na mpango huo unalenga kulinda rasilimali za maji na viumbe hai, pamoja na kuhakikisha vyanzo vinaendelea…