Babalevo apigania masharti nafuu mikopo ya vijana
Dodoma. Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM) Clayton Chipando maarufu Babalevo amesema vijana wa Tanzania wanataka fedha, hawataki konakona. Babalevo amesema hayo bungeni leo Jumanne Februari 3, 2026 wakati akichangia mapendekezo ya mpango wa Serikali uliowasilishwa bungeni na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo. Mbunge huyo amesema masharti mengi yanawekwa na taasisi za ukopeshaji…