Tabora Utd yaitaka nafasi ya Singida BS

ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, uongozi wa Tabora United umesema inataka timu kufanya vizuri zaidi ili kumaliza ligi ndani ya nafasi nne za juu kwenye msimamo tofauti na ilivyokuwa msimu uliopita. Timu hiyo msimu uliopita ilimaliza katika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu…

Read More

Camara bado yupo Simba | Mwanaspoti

BAADA ya tetesi na sintofahamu juu ya hatma yake msimu ujao, kipa namba moja wa kikosi cha Simba, Moussa Camara inadaiwa hivi karibuni atamalizana na mabosi wa timu hiyo kwa kusaini mkataba wa kuendelea kusalia kwenye timu hiyo. Camara ambaye alitua Simba mwanzoni mwa msimu wa 2024-2025, amekuwa kipa chaguo la kwanza kwenye kikosi cha…

Read More

Ofisi ya Atomu kupunguza gharama usafirishaji sampuli

Unguja. Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), Profesa Joseph Msambichaka amesema uamuzi wa Serikali kujenga ofisi na maabara Zanzibar utasaidia kusogeza huduma ya upimaji wa mionzi karibu na wananchi. Profesa Msambichaka amesema hayo Agosti 10, 2024 baada ya kutembelea ofisi na maabara za TAEC Zanzibar zilizojengwa eneo maalumu lililotengwa na…

Read More

MRADI WA IWT WAKABIDHI MIZINGA 300 KWA WAGA

  Mradi wa Kupambana na Ujangili na Biashara Haramu ya Wanyamapori (IWT) ulio chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii, umekabidhi mizinga  ya kisasa 300, vifaa mbalimbali vya kufugia nyuki na kusindika asali  vyenye gharama ya shilingi milioni 50 kwa Jumuiya za Hifadhi ya Wanyamapori (WAGA). Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi…

Read More

PROF. SHEMDOE: MAAZIMIO YA MKUTANO WA KIMATAIFA WA SAYANSI WA TAASISI YA NELSON MANDELA YAWEKWE KATIKA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe(Katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Upeo wa Kitropiki Uendelevu wa kilimo, mazingira na teknolojia ulioandaliwa na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela. ……. Na.Mwandishi Wetu _Arusha Katibu Mkuu Wizara ya…

Read More

MSAJILI WA HAZINA AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MPYA WA HESLB

Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill Kiwia (wa pili kushoto), katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Dkt. Bill Kiwia (kushoto), akizungumza alipokuwa akitoa wasilisho lake kwa…

Read More

Urusi na Ukraine zakabiliana vikali – DW – 30.08.2024

Makabiliano hayo yanafanyika katika wakati ambapo mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wanakutana leo mjini Brussels kwa lengo la kujadili namna ya kutoa mafunzo ya wanajeshi wa Ukraine katika makabiliano yao na Urusi. Taarifa za ndani katika maeneo hayo zinaeleza kuwa shambulizi kubwa la anga limeharibu miundombinu ya raia katika mji wa…

Read More

Yanga yacheza dakika 120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More

ZIARA WAZIRI MAVUNDE YALETA FARAJA KWA WACHIMBAJI WADOGO WA LEMISHUKO,SIMANJIRO- MANYARA

●Eneo la Lemishuko kurushwa ndege nyuki ya Utafiti ●Serikali kutatua changamoto ya Maji,Umeme,Barabara na Zahanati ●Aongoza Harambee ya ujenzi wa Zahanati Lemishuku ●Jengo la Kituo cha ununuzi wa Madini kukamilika Desemba,2024 ●Wachimbaji wamshukuru Rais Samia kwa kufungua sekta ya madini SIMANJIRO,MANYARA WAZIRI wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amefanya ziara kukagua shughuli za uchimbaji madini na…

Read More