ACT- Wazalendo yaja na mambo tisa ilani uchaguzi serikali za mitaa
Dar es Salaam. Chama cha ACT- Wazalendo, kwa mara ya kwanza kimekuja na ilani yake ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji yenye mambo tisa yatakayosimamiwa na kutekelezwa na viongozi wao watakaochaguliwa katika uchaguzi utakaofanyika Jumatano ya Novemba 27, 2024. Miongoni mwa mambo hayo ni kutoa viongozi waaminifu, jasiri na mahiri katika vijiji,…