AFYA YA AKILI YASISIMUA MAAFISA MIPANGOMIJI

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Maafisa Mipangomiji wanaoshiriki kikao kazi cha siku tatu mkoani Arusha wamejikuta katika msisimko wa hali ya juu kutokana na mada ya namna ya kulinda afya ya akili na umuhimu wa akili hisia katika maeneo ya kazi iliyowasilishwa wakati wa kikao hicho. Mada hiyo iliyowasilishwa na daktari bingwa mbobezi wa figo…

Read More

Pakistan hurejea kutoka mafuriko wakati mamilioni ya kuacha makazi – maswala ya ulimwengu

Zaidi ya watu milioni sita wameathiriwa tangu mvua zisizo za kawaida zisizo za kawaida zilianza mwishoni mwa Juni, na karibu maisha 1,000 yalipotea – 250 kati yao watoto. Karibu watu milioni 2.5 wamehamishwa, makazi mengi katika kambi zinazoendeshwa na serikali au na familia za mwenyeji ambao tayari wamewekwa kwenye kikomo chao. “Kutoka kwa shamba, tunaona…

Read More

MSHINDI WA ZIGO LA MWEZI LA PIKU AKABIDHIWA PIKIPIKI

Na Mwandishi Wetu JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandaoni, leo Septemba 25, 2025 limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya tano ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo iliyofanyika Mabibo jijini Dar es Salaam, mshindi wa kwanza Adam Ahmed Adam alikabidhiwa pikipiki mpya aina…

Read More

JKT Queens yanyakua ubingwa CECAFA

HATIMAYE JKT Queens imetawazwa kuwa bingwa wa michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) Wanawake baada ya kuitandika Rayon Sports ya Rwanda bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Septemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Moi Kasarani jijini Nairobi nchini Kenya. Bao la Winifrida Gerald dakika ya tano akifunga kwa kichwa baada ya kumalizia…

Read More

Ligi Kuu 2025/26: Mechi hizi sio za kuzikosa

MSIMU mpya wa 2025-2026 wa Ligi Kuu Bara unaanza leo Jumatano Septemba 17, 2025, huku ukitazamiwa kuongezeka kwa ushindani kutokana na timu 16 shiriki kusajili wachezaji bora wenye uzoefu katika vikosi hivyo. Wakati ratiba hiyo ikitoka kuashiria kwa msimu wa 2025-2026, Mwanaspoti linakuletea baadhi ya mechi kali na za kusisimua ambazo kama shabiki au mdau…

Read More

DKT MPANGO AWASILI SONGEA

…. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 26 Februari 2026. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha Tamasha la kumbukizi ya Miaka 120 ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji litakalofanyika tarehe 27 Februari 2026, Viwanja vya Makumbusho ya Majimaji,…

Read More

Mwenza wako ana haki kukuchunguza

Canada. Tufuatane katika kisa cha kufikirisha na kusisimua hata kuogopesha japo kinafundisha kitokanacho na upendo wa kweli. Kawaida, wanandoa, hulala pamoja. Hili haliepukiki wala kujadilika katika maisha ya ndoa. Siku moja, baba alikosa usingizi lakini akakaa kimya kuchelea kumuamsha mwenzie. Alistuka. Akiwa hana hili wala hili, mkewe aligutuka usingizini. Alianza kumnusa vidole. …

Read More