Watatu wadakwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Tabora

Tabora. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linawashikilia watu wawili wakituhumiwa kwa mauaji ya mfanyabiashara Magreth Mwaviombo, aliyeuawa Julai 13, 2024 kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali. Hayo yamebainishwa leo Jumatano Julai 24, 2024 na Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Richard Abwao akisisitiza kuwa jeshi hilo halijalala. Amesema, “kutokana na tukio la mauaji lililotokea…

Read More

Nina wasiwasi na Stars CHAN 2024

TANZANIA tumepata bahati kubwa ya kuandaa mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani (CHAN) 2024 ambazo zitaandaliwa kwa pamoja na sisi, Kenya na Uganda. Kupewa fursa kama hiyo ni jambo la heshima kwani inaonyesha imani kubwa ambayo Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) linalo kwa Tanzania…

Read More

KAJULA: Siku 913 mataji mawili

JANUARI 26, 2022 Simba ilimtangaza Imani Kajula kuwa ofisa mtendaji mkuu (CEO) wa klabu alikichukua nafasi ya Barbara Gonzalez aliyejiuzulu Desemba 10, 2021. Hadi mwisho wa mwezi Agosti , mwaka huu, ndio siku ambayo ataachia ngazi katika nafasi hiyo atakuwa ametimiza siku 913 tangu ashike nafasi iliyoachwa na Barbara, huku akishindwa kufikia mafanikio yaliyofikiwa na…

Read More

Ujenzi wa nyumba Hanang wafikia asilimia 40

Arusha. Wakati ujenzi wa nyumba za waathirika wa mafuriko ya Hanang ukipiga hatua kufikia asilimia 40, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk Jim Yonazi amesisitiza uwekwaji wa anwani za makazi katika eneo linalojengwa nyumba 108 za waathirika hao. Ujenzi wa nyumba hizo unakuja baada ya wakazi wa eneo hilo…

Read More

Hospitali yenye viwango vya kiduniani kujengwa Tanzania

Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwa miongoni mwa nchi tano za Afrika zitakazonufaika na ujenzi wa mradi mkubwa wa hospitali itakayokuwa na viwango vya dunia vya utoaji huduma za matibabu (African Medical Center of Excellence (AMCE). Mradi huo unatekelezwa kupitia mradi unaotekelezwa na African Export-Import Bank (Afreximbank) kwa kushirikiana na Hospitali ya Chuo Kikuu cha…

Read More

SANLAM INVESTMENTS EA LIMITED YAZINDUA MIFUKO YA UWEKEZAJI, OFISI TANZANIA

* CMSA yawataka wadau kushirikiana na Serikali katika kuwawezesha wananchi kiuchumi MAMLAKA Ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA,) imewataka wadau wa masoko ya mitaji kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuwezesha wananchi kiuchumi na kutekeleza Mpango Kazi wa Serikali wa njia mbadala za kugharamia miradi ya maendeleo. Hii itawezesha Serikali na Sekta Binafsi kupata rasilimali…

Read More