Vivuko Kigamboni vyaweka rehani maisha ya wananchi 60,000

Dar/mikoani. Usalama wa zaidi ya watu 60,000 wanaotumia huduma ya vivuko kati ya Kigamboni na Magogoni kila siku upo shakani. Mashaka ya usalama wa watu hao yanatokana na ubovu wa vivuko hivyo, unaosababishwa na kutofanyiwa matengenezo makubwa kwa mujibu wa sheria, ratiba na matakwa ya kitaalamu. Hali hiyo inazua hofu ya kuharibika vivuko hivyo vikiwa…

Read More

Fadlu ashtukia mchongo, apanga upya silaha zake

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davis amesema anafanya mabadiliko ya kikosi chake kutokana na ugumu wa ratiba na ataendelea kufanya hivyo kwa kuwapa mapumziko ya kutosha nyota wake ili kufikia malengo. Kwa sasa Simba inacheza mechi za viporo za Ligi Kuu Bara kabla ya kwenda kucheza mechi ya fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho…

Read More

Aliyekuwa DED Simanjiro kortini tuhuma za uhujumu uchumi

Simanjiro. Aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Samwel Warioba Gunza amefikishwa mahakamani na kushtakiwa kwa kesi ya rushwa. Gunza amefikishwa mbele ya hakimu mwandamizi wa Mahakama ya wilaya ya Simanjiro, Onesmo Nicodemo na kusomewa shitaka na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru). Shauri hilo la uhujumu uchumi limesomwa…

Read More