Azam yaliamsha, Wakenya wakijipanga CAFCC

AZAM imepanga kuendeleza ubabe mbele ya Nairobi United kwenye mchezo wa nne wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika huku Wakenya hao wakija na hesabu zao. Kocha wa Azam, Florent Ibenge baada ya kushinda mchezo wake wa kwanza hatua ya makundi ugenini, amesema wanataka kutafuta ushindi wa pili ili kujiweka sawa. Ibenge amesema…

Read More

Sh6.9 bilioni zatumiwa kukabiliana na magonjwa yasiyopewa kipaumbele

Dodoma. Ili kukabiliana na magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele, Serikali imetumia kiasi cha fedha Sh6.9 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024 hadi 2026 katika Halmashauri 184 na kufanikiwa kutokomeza magonjwa hayo isipokuwa katika Halmashauri saba nchini ambazo bado zina maambukizi ya juu. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), yapo magonjwa 21 yasiyopewa kipaumbele duniani ambayo…

Read More

Mkurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania akutana na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia anayesimamia Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe kuimarisha Mahusiano ya kibiashara

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (kushoto), akiwa na Bw. Nathan Belete, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia anayesimamia Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, baada ya mkutano wa kimkakati wa kibiashara uliofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Hyatt Regency Park jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulilenga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi…

Read More

Uwanja wa Afcon 2027 wafikia asilimia 30 Zanzibar

Wakati maandalizi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 yakiendelea, ujenzi wa uwanja utakaotumika visiwani hapa umefikia asimilia 30. Uwanja huo unaojengwa Fumba, Mkoa wa Mjini Magharibi na kampuni ya Orkun kutoka Uturuki, ujenzi wake ulianza Mei 2025 na unatarajiwa kukamilika Desemba 2026 kwa awamu ya kwanza ukigharimu Dola za Marekani 150…

Read More

UBUNGO YAREJESHA KAMPENI ‘KAUSAPEU’ KIVINGINE

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mkoani Dar es salaam Albert Msando  akizungumza wakati wa zoezi la usafi katika Kata ya Goba jijini Dar es salaam sambamba na uzinduzi wa Kampeni ya Kataa Uchafu Safisha Pendezesha Ubungo (KAUSAPEU) Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mkoani Dar es salaam Albert Msando akishiriki zoezi la usafi katika Kata ya Goba…

Read More

Polisi kuanza msako wavamizi barabara za BRT

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limetangaza kuanza msako maalumu wa kuwakamata watu wote wanaotumia Barabara za Mwendokasi (BRT) kinyume cha sheria, likisema kitendo hicho ni miongoni mwa makosa ya usalama barabarani. limesema licha ya  kutoa elimu ya usalama barabarani kwa makundi yote, bado kuna watumiaji wa vyombo vya moto, hususan waendesha bodaboda na mikokoteni,…

Read More

Waarabu wa Simba waifuata Yanga

SIMBA inacheza nyumbani kesho Jumapili dhidi ya Esperance de Tunis, lakini Waarabu wao hao wametua Zanzibar wakifuata mambo mawili wakiwamo Yanga. Mashabiki wa Esperance wametua Dar es Salaam, kisha wakachukua ndege na kuja Zanzibar kwa lengo la kutalii kidogo, halafu baadaye wakasema wataifuata Yanga. Mashabiki hao wanajua kwamba mashabiki wa Yanga hawatapenda Simba ishinde na…

Read More