Azam yaliamsha, Wakenya wakijipanga CAFCC
AZAM imepanga kuendeleza ubabe mbele ya Nairobi United kwenye mchezo wa nne wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika huku Wakenya hao wakija na hesabu zao. Kocha wa Azam, Florent Ibenge baada ya kushinda mchezo wake wa kwanza hatua ya makundi ugenini, amesema wanataka kutafuta ushindi wa pili ili kujiweka sawa. Ibenge amesema…