Hatima kaya 171 zilizokataa uthamini Kigoma kujulikana Aprili 25

Kigoma. Serikali Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma imesema haitofanya uthamini kwa kaya 171 zilizogomea kwa awamu mbili tofauti ili kupisha upanuzi wa hifadhi ya milima ya Mahale inayoendeshwa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), utakaosaidia kulinda ikolojia ya wanyama aina ya sokwe wanaopatikana katika hifadhi hiyo. Pia, imesisitiza kuwachukulia hatua za kisheria wananchi…

Read More

Ushiriki wa Marekani utamaliza vita DRC?

Dar es Salaam. Tangu mwanzoni mwa 2025 kumekuwa na mjadala kuhusu uwezekano wa ushirikiano wa kimkakati kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Marekani katika sekta ya madini muhimu. DRC, Taifa lenye utajiri wa rasilimali kama kobati, lithium, urani, shaba, dhahabu na madini mengine adimu, imekuwa ikitafuta washirika wa kimataifa kuwekeza katika sekta…

Read More

Freddy arudi ghafla, ajifua na mastaa wa Yanga

BAADA ya kusepa Simba, mshambuliaji Freddy Kouablan amerejea nchini kimya kimya, lakini akashtua kujifua na mastaa wa Yanga. Freddy ambaye alitua Simba dirisha dogo msimu uliopita akitokea Green Eagles ya Zambia akiwa amefunga mabao 11 yaliyomfanya awe Mfungaji Bora mwishoni mwa msimu wakati akiwa Msimbazi, aliondoka Simba hivi karibuni kumpisha Leonel Ateba kutoka USM Alger…

Read More

TAARIFA KWA UMMA | Mwanaspoti

Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za utoaji wa huduma ya maudhui mtandaoni kwa siku 30 kutokana na kuchapisha maudhui yaliyozuiwa yanayokiuka Kanuni za Maudhui ya Mtandaoni za 2020. Mwananchi Communications Limited (MCL) inaahidi kuwaletea wateja na wasomaji…

Read More

Tabia ndogo za afya zinazoweza kuokoa maisha yako

Dar es Salaam. Kila mwaka duniani kote, mamilioni ya watu hufariki kutokana na magonjwa yasiyoambukiza kama vile shinikizo la damu, kisukari, magonjwa ya moyo na saratani. Shirika la Afya Duniani (WHO) linaeleza kuwa takribani watu milioni 41 hufariki kila mwaka kutokana na magonjwa haya, sawa na asilimia 74 ya vifo vyote duniani. Habari njema ni…

Read More

Marekani kuanza mazungumzo ya amani ya Sudan bila ya jeshi – DW – 13.08.2024

Mazungumzo hayo ambayo yanafanyika nchini Uswisi yanatarajiwa kuanza kesho Jumatano na huenda yakafanyika kwa siku 10.  Marekani inayaratibu mazungumzo hayo yanayofanyika katika wakati ambapo Umoja wa Mataifa ukionya kwamba taifa hilo limo katika kile ilichokiita “ukingo wa kuporomoka” na maelfu ya vifo ambavyo vingeweza kuzuilika, hivi sasa vinawanyemelea kutokana na mizozo iliyochochewa na vita. Eneo…

Read More