
Hatima kaya 171 zilizokataa uthamini Kigoma kujulikana Aprili 25
Kigoma. Serikali Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma imesema haitofanya uthamini kwa kaya 171 zilizogomea kwa awamu mbili tofauti ili kupisha upanuzi wa hifadhi ya milima ya Mahale inayoendeshwa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), utakaosaidia kulinda ikolojia ya wanyama aina ya sokwe wanaopatikana katika hifadhi hiyo. Pia, imesisitiza kuwachukulia hatua za kisheria wananchi…