Tanzania yachomoza kriketi Afrika | Mwanaspoti

WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Afrika wa mchezo wa kriketi wameonyesha kuridhishwa na namna ya ukuzaji wake, baada ya viongozi kutoka nchi 25 kukutana Dar es Salaam. Mkutano huo wa mafunzo umekuja wiki chache baada ya Tanzania kushinda michuano ya Divisheni ya Kwanza Afrika kwa vijana wa chini ya miaka 19 ambayo fainali zake zilichezwa…

Read More

Nyota wa zamani wa Spurs,  West Ham kusaka vipaji Bongo

MSHAMBULIAJI na nyota wa zamani wa klabu za West Ham United na Tottenham za England, Frédéric Kanouté anatazamiwa kuja nchini ili kusaidia kutafuta vipaji kupitia mashindano ya soka kwa Vijana Afrika Mashariki ambayo itafanyika jijini Arusha. Kanoute aliyewahi pia kutamba na Sevilla ya Hispania, Lyon ya Ufaransa na timu ya taifa ya Mali, akishinda tuzo za…

Read More

WATUMISHI WANAWAKE WA TEA WAJITOA KWA JAMII

Watumishi wanawake wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) @officiatea Leo tarehe 7 Machi 2025 wametembelea Kituo cha Kulea Watoto Miuji Nyumba ya Matumaini Jijini Dodoma kama sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani ambayo kilele chake huadhimishwa Machi 8 kila mwaka. Katika ziara hiyo, wametoa msaada wa bidhaa mbalimbali, ikiwemo chakula vikiwa…

Read More

NEMC yatoa elimu matumizi salama ya Zebaki kwa wachimbaji

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limetoa elimu ya matumizi salama ya Zebaki kwa wachimbaji wadogo na wasambazaji wa mgodi wa Mwakitolyo uliopo Kata ya Mwakitolyo Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, ili kupunguza madhara ya zebaki kiafya na kimazingira. Aidha, NEMC kwa kushirikiana na ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali wanatekeleza…

Read More

Mahakama yamuonya Malisa kutofika mahakamani

Dar es Salaam: Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imemuonya mwanaharakati Godlisten Malisa, ambaye anashiriki katika kesi ya jinai pamoja na meya mstaafu, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai. Mahakama hiyo imesema kwamba, endapo Malisa hatohudhuria usikilizwaji wa kesi yao siku nyingine, atachukuliwa hatua ikiwamo kupelekewa mahabusu. Katika kesi hiyo, wawili hao wanakabiliwa na mashitaka matatu ya…

Read More