Yanga yatimba Azam FC kumng’oa Mtasingwa

KUNA kila dalili kiungo mkabaji wa Azam FC, Adolf Mtasingwa atasaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga wikiendi hii. Mtasingwa ameonyesha kiwango bora miezi sita aliyocheza Ligi Kuu Bara akiitumikia Azam FC. Chanzo cha kuaminika kutoka Yanga kimeliambia Mwanaspoti kuwa wako kwenye mchakato wa kusaka kiungo mkabaji mwenye uwezo wa kuwapa changamoto waliopo. Mmoja wa…

Read More

Mke, mtalaka wanusurika kifo, mauaji ya mume mpya

Arusha. Mahakama ya Rufani iliyoketi Tabora, imewaachia huru Akizimana Buchengeza na Perajia Mawenayo (watalaka) waliohukumiwa adhabu ya kifo, kwa kumuua Augustino Ndisabila (mume mpya wa Perajia) na kumkata uume wake. Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa warufani hao walikuwa mke na mume zamani, ila walitengana. Pia ilielezwa kuwa Perajia na Augustino (marehemu) kabla ya kutengana, walikuwa na…

Read More

Tasac yaonya usalama wa vyombo vya majini, yatoa elimu

Geita. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) Mkoa wa Geita, limewatahadharisha wadau wote wa vyombo vya usafiri na wavuvi wanaotumia Ziwa Victoria, kufuatilia taarifa za hali ya hewa kabla ya kuanza safari za majini hususan kipindi hiki chenye mvua nyingi na upepo. Ofisa Mfawidhi wa Tasac Mkoa wa Geita, Godfrey Chegere aliyasema hayo jana…

Read More

VAR kutumika Ligi Kuu Bara

Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, viwanja vitakavyotumika kwa michuano hiyo vitafungwa teknolojia inayomsaidia mwamuzi kufanya marejeo ya picha (Video Assistance Referee-VAR) kwa ajili ya kuhakikisha matokeo yanayopatikana yanakuwa ya haki. Amesema katika kuhakikisha hilo linafanikiwa, Serikali inakusudia kuwasilisha pendekezo la kuondoa kodi kwenye vifaa vinavyotumika kwenye…

Read More

Lori lililoanguka lazua foleni Mikumi usiku kucha

Mikumi. Abiria wa mabasi na watumiaji wengine wa vyombo vya moto wamekwama katikati ya Mbuga ya Mikumi, Barabara ya Morogoro – Iringa kwa zaidi ya saa saba kutokana na lori kuanguka barabarani. Foleni ilianza saa saba usiku wa kuamkia leo Juni 14, 2025 hadi alfajiri, kukiwa na magari zaidi ya 100 yaliyokwama, abiria na madereva…

Read More

Bashungwa awaondoa watendaji Kivuko cha Magogoni – Kigamboni

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewaondoa watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wanaosimamia usafiri wa kivuko kati ya Magogoni – Kigamboni na kuagiza kupangiwa kazi nyingine kwa kushindwa kusimamia kikamilifu huduma kwa wananchi wanaotumia kivuko hicho. Walioondolewa ni Meneja wa Vivuko Kanda ya Mashariki na Kusini, Mhandisi Lukombe…

Read More

Mfumo wa afya wa Ulaya chini ya shida kwani madaktari na wauguzi wanakabiliwa na shida ya afya ya akili – maswala ya ulimwengu

Alama Uchunguzikufadhiliwa chini WHO/Mradi wa Ulaya na Tume ya Ulaya – sanjari na Siku ya Afya ya Akili ya Ulimwenguni – Alichambua majibu karibu 100,000 kutoka nchi 29, kutoka Oktoba 2024 hadi Aprili mwaka huu. Upataji muhimu ni kwamba madaktari na wauguzi wanafanya kazi katika hali ambazo zinaumiza afya zao za akili na ustawi-pia zinaathiri…

Read More