Nafasi ya watoto katika kukuza uchumi wa familia

Dar es Salaam.Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa Tanzania, familia zimekuwa na mtazamo kwamba kila mwanafamilia ana jukumu la kusaidia ustawi wa kaya. Watoto, licha ya kuwa bado wanalelewa, wamekuwa wakihusishwa katika shughuli mbalimbali za kiuchumi kama sehemu ya mchango wao kwa maendeleo ya familia. Uchangiaji huu unajitokeza kwa njia tofauti, na mara nyingi huendeshwa…

Read More

MAHUBIRI: Usikubali kupokea taarifa mbaya

Bwana Yesu asifiwe naitwa Mwalimu George Mbwambo kutoka Dar es salaam Karibu kwenye mahubiri ya siku ya Leo yenye kichwa kinachosema ‘Namna amani ya Kristo inavyofanya kazi kwenye maisha ya mtu” Kila mwanadamu hutamani kuishi maisha ya utulivu, usalama na furaha ya kweli. Lakini mara nyingi dunia hii hujaa misukosuko, hofu na mashaka. Watu wengi…

Read More

Mkuu wa Umoja wa Mataifa anajibu maswali magumu katika ukumbi wa townhall pamoja na mashirika ya kiraia ya wanawake – Global Issues

“Ninyi ni watikisa msingi,” UN Katibu Mkuu Antonio Guterres aliuambia mkutano wa kila mwaka wa townhall na watetezi wa haki za wanawake – ambao unaendelea hadi 19 Machi – “na unatikisa haki, utu na usawa kwa jamii kote ulimwenguni.” Akiangazia kukosekana kwa usawa wa madaraka, ikiwa ni pamoja na katika siasa, uchumi na teknolojia zinazoibukia…

Read More

Lina Tour msimu wa nne waanza kurindima leo Morogoro

WACHEZAJI takribani 137 wamejitosa kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa nne yaliyoanza leo kwenye viwanja vya Gofu vya Gymkhana mkoani Morogoro. Mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika 2024 yanaendelea tena mwaka huu yakiwa na lengo la kumuenzi mchezaji gofu wa zamani timu ya taifa ya wanawake marehemu Lina Nkya aliyekuwa na…

Read More

Meridian Bonanza Imekuja Kuitikisa Dunia ya Kubashiri

MERIDIANBET imezindua Meridian Bonanza kwa kishindo kikubwa, mchezo wa kubashiri wa kisasa unaovunja mipaka ya burudani na ushindi. Ukiwa umeundwa kwa teknolojia ya hali ya juu, Bonanza humweka mchezaji katikati ya tukio, ambapo kila mzunguko hujaa msisimko na matarajio ya ushindi wa kweli. Tofauti na michezo ya kawaida ya kubashiri, Meridian Bonanza inampa mchezaji udhibiti…

Read More

Matatani tuhuma kuisababishia TTCL hasara ya Sh1.5 bilioni

Dar es Salaam. Mfanyabiashara na mkazi wa Moshi, mkoani Kilimanjaro, Grey Chilaza na mwenzake, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka matano likiwamo la kulisababishia hasara ya Sh1.5 bilioni Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL ). Mbali na Chilaza, mshtakiwa mwingine ni Alex Ngonyani ambaye ni mkazi wa Mbinga mkoani Ruvuma. Washtakiwa hao…

Read More