Pamba Jiji yaanza kujipanga, yatangaza bodi yake

Zikiwa zimepita siku 10 tangu Klabu ya Pamba Jiji itangaze kumalizika kwa mikataba ya benchi la ufundi na wachezaji walioipandisha Ligi Kuu, klabu hiyo imetangaza bodi mpya itakayoiongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Taarifa hiyo imetolewa leo Jumamosi Juni 29, 2024, na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba ambaye ni Katibu wa…

Read More

Saa saba za Boka, Yanga mezani bila matumaini

DILI la Yanga na beki Chadrack Boka wa FC Lupopo limeingia ugumu baada ya pande zote mbili kukaa mezani kwa saa saba bila kufikia muafaka. Mwanaspoti limejiridhisha kwamba bosi wa nyota huyo, Jacques Kyabula Katwe alitua Dar es wikiendi iliyopita kwa ndege binafsi pamoja na ishu zake binafsi, lakini pia alikuja kukamilisha dili hilo. Lakini…

Read More

Laizer aachiwa zigo Fountain Gate

UONGOZI wa Fountain Gate umesema hautafanya uamuzi wa haraka kutafuta kocha mkuu, badala yake Mohamed Ismail ‘Laizer’ ambaye ni msaidizi atapewa majukumu ya kukiongoza kikosi hicho katika kipindi cha mpito. Akizungumza na Mwanaspoti, Mratibu wa Fountain Gate, Wendo Makau amesema baada ya kuondoka Denis Kitambi hawana haraka ya kutafuta mkuu wa benchi la ufundi, hivyo…

Read More

Ripoti Inafichua Dharura ya Kimya Ulimwenguni kwani Watoto Zaidi Walioathiriwa na Migogoro Wanahitaji Usaidizi wa Haraka wa Elimu – Masuala ya Ulimwenguni

Watoto wa Syria katika kambi ya wakimbizi wa ndani nchini Lebanon. Credit: ECW Choufany na Joyce Chimbi (new york & nairobi) Ijumaa, Januari 24, 2025 Inter Press Service NEW YORK & NAIROBI, Jan 24 (IPS) – Ripoti iliyotolewa leo juu ya Siku ya Kimataifa ya Elimu inasikika kama hali ya kutisha kwani idadi ya watoto…

Read More

‘607 wanahitaji upandikizaji ini Muhimbili’

Dar es Salaam. Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), imeeleza kuwa itaanza upandikizaji wa ini ifikapo mwaka 2025. Hatua hiyo ya Muhimbili inakuja wakati ambapo kuna wagonjwa 607 wanaohitaji upandikizaji wa ini. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Jumapili, Novemba 24, 2024 Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Profesa Mohamed Janabi amesema tayari wameanza matayarisho kuelekea upandikizaji…

Read More

VIDEO: Alichokisema Dk Nawanda baada ya kuachiwa huru

Mwanza. Muda mfupi baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza kumuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda, mwanasiasa huyo ametoa kauli yake kuhusiana na uamuzi huo. “Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, naishukuru familia yangu, naishukuru mahakama imetenda haki, namshukuru kaka yangu Alex kwa kazi kubwa ambayo ameifanya, basi Mungu ni…

Read More

NELSON MANDELA KUTATUA CHANGAMOTO YA UFANISI KATIKA UFUGAJI

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na ya Teknolojia ya Nelson Mandela,Prof. Maulilio Kipanyula, akizindua rasmi Kituo cha Teknolojia ya kisasa ya ufugaji Fanisi kwa kumuingiza ng’ombe katika banda Aprili 11,2025 Kampasi ya Tengeru jijini Arusha. …….. TAASISI ya Afrika ya Sayansi na ya Teknolojia ya Nelson Mandela imezindua kituo maalum cha utafiti…

Read More