Fountain yanasa beki Mrundi | Mwanaspoti

UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa beki wa kati wa Namungo raia wa Burundi, Derrick Mukombozi, baada ya nyota huyo kuafikiana maslahi binafsi na mabosi wa kikosi hicho. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho zimeliambia Mwanaspoti, Mukombozi amekubali maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa…

Read More

Waafrika 70 wafariki dunia wakivuka maji kwenda Ulaya

Banjul. Wizara ya Mambo ya Nje nchini Gambia, imetoa taarifa ya vifo vya watu 70 baada ya kupinduka kwa mashua  waliokuwa wakisafiria. Imeelezwa kuwa, ajali hiyo imetokea baada ya abiria wa mashua hiyo kusogea upande mmoja wa mashua walipoona mwanga wa mji wa Mheijrat, karibu kilomita 80 kaskazini mwa mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott. Kwa…

Read More

Njia ya COP30 – maswala ya ulimwengu

Mkutano huo, ambao hufanyika mnamo tarehe 24 Septemba katika makao makuu ya UN, umeundwa kama uzinduzi wa COP30 lakini, tofauti na mazungumzo ya mkutano wa hali ya hewa wa UN, hii ni tukio la kiwango cha juu ambapo wakuu wa serikali, viongozi wa serikali, biashara, na asasi za kiraia zinatarajiwa kuwasilisha ahadi za zege na…

Read More

UDP kukomalia kilimo cha umwagiliaji ikishinda uchaguzi mkuu

Siha. Mgombea Urais kupitia Chama cha UDP, Saumu Rashidi ametangaza mambo matano ambayo anakwenda kushughulika nayo pindi atakapopata ridhaa ya wananchi ya kuwa kiongozi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Miongoni mwa mambo anayopigania mgombea huyo kipaumbele cha kwanza ni kilimo cha umwagiliaji, viwanda, afya, elimu pamoja na maji. Saumu amesema leo Jumatano Septemba 24,…

Read More

DC NYAMWESE ASISITIZA UJENZI WA BWENI UPEWE KIPAUMBELE MRADI WA VETA HANDENI

Na Mwandishi Wetu, Handeni MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amekagua ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) wilayani humo na kuagiza maboresho mbalimbali kwenye utekelezaji wa mradi huo unaotarajiwa kugharimu Sh.Bilioni 1.6. Miongoni mwa maboresho ni kuangalia namna ya kuhakikisha bweni linajumuishwa katika awamu ya kwanza ya ujenzi, ili wanafunzi waweze kuanza…

Read More

Wadau wakutana kitathmini lishe | Mwananchi

Morogoro. Tathmini ya mapambano dhidi ya udumavu na upungufu wa lishe bora hasa kwa watoto chini ya miaka mitano na wajawazito, imebaini uwepo wa changamoto kadhaa ikiwamo uelewa mdogo wa wazazi na walezi. Hayo yamebainika katika kikao cha viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara, wataalamu kutoka sekta mbalimbali pamoja na wadau wa lishe kuhusu…

Read More

Waandamanaji wa Irani waliofungwa wanakabiliwa na hukumu ya kunyongwa ‘haraka’ – Global Issues

The Ujumbe Huru wa Kimataifa wa Kutafuta Ukweli (FFM) kuhusu Iranambayo iliundwa na Baraza mnamo 2022, ilisema ina wasiwasi mkubwa juu ya ulinzi wa wafungwa, pamoja na kuongezeka kwa ghasia zinazoendelea kuathiri Lebanon na Mataifa mengi ya Ghuba. Jopo la wataalam huru wa haki walitaja ripoti za kuaminika “kwamba wengi (wafungwa nchini Iran) wako katika…

Read More

MVUA ZAADHIRI MAKAZI YA WANANCHI HOLILI.

WANANCHI wa Kitongoji cha Shuleni, Kijiji cha Holili Vijijini wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia athari za maji ya mvua yaliyoelekezwa kwenye makazi yao kufuatia uchimbaji wa mitaro uliofanywa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA).  Wakizungumza kwa nyakati tofauti na waandishi wa habari jana, wananchi hao  wamesema hali hiyo imeanza kuleta madhara tangu…

Read More