Winga akaribia kutua Singida Black Stars

TIMU ya Singida Black Stars inakaribia kumsajili nyota wa Stand United ‘Chama la Wana’, Yusuph Khamis baada ya mabosi wa kikosi hicho kuvutiwa na uwezo wake aliouonyesha kwenye Ligi ya Championship msimu uliopita. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata zinaeleza mabosi wa Singida Black Stars wanamfuatilia kwa ukaribu mchezaji huyo, ambaye msimu uliopita akiwa na Stand aliifungia…

Read More

DKT.DIMWA : ATOA WITO KWA WANAWAKE NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Zanzibar. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ametoa wito kwa wanawake nchini kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kuanzia katika mchakato wa uchaguzi wa ndani ya chama hadi uchaguzi mkuu wa dola Oktoba 2025. Hayo wakati akizungumza na Kikundi cha Wanawake wa Kikiristo na…

Read More

WAZIRI MKUU ATOA MAELEKEZO UENDESHAJI MRADI WA SGR

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa 16 wa Bunge, bungeni jijini Dodoma, Septemba 6, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PMO_0557 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt.Damas Ndumbaro (kushoto), Mbunge wa Geita Mjini Constantine Kanyasu (Wapili kushoto) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri…

Read More

WAZIRI KIJAJI ABAINISHA MIKAKATI YA MAZINGIRA

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imejipanga kujenga kituo cha kurejeleza taka za plastiki pamoja na kuhifadhi na kuchambua taka ngumu kwa ajili ya kutumika kama malighafi ya viwanda. Kituo hicho kitakachojengwa katika Jiji la Dodoma kitasaidia ukusanyaji wa taka kutoka dampo kwa ajili ya kuchakatwa hatua itakayosaidia kulinda mazingira. Waziri wa Nchi…

Read More

Mabula aanza rasmi Ligi Kuu Azerbaijan

KIUNGO Alphonce Mabula wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Azerbaijan amesema sasa anaanza kazi rasmi baada ya kupata uzoefu wa kucheza ligi hiyo, tangu alipojiunga nayo dirisha dogo la msimu uliopita na kucheza miezi sita. Mabula ambaye alijiunga na Shamakhi akitokea FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu ya Serbia alikocheza kwa misimu miwili, aliliambia…

Read More

Akili Mnemba zitakazoongeza ufanisi wa kazi zako

Dar es Salaam. Kadri teknolojia ya Akili Mnemba (AI) inavyozidi kushika kasi duniani, matumizi ya zana zake kazini na katika maisha ya kila siku yamekuwa suluhisho kubwa kwa kuongeza ufanisi, ubunifu na kuokoa muda. Ikiwa wewe ni mtumiaji wa zana hizo au unapanga kuanza safari hiyo mwaka 2025, basi zifuatazo ni baadhi ya programu bora…

Read More

CRDB yaja na hatifungani inayokusanya fedha kuwezesha biashara

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imezindua CRDB Al Barakah Sukuk, hatifungani itakayokusanya fedha zitakazowezesha biashara bila riba nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki. Hatifungani hiyo, inayofuata misingi ya Kiislamu, inalenga kukusanya Sh30 bilioni na Dola milioni 5 za Marekani (Sh12.7 bilioni), huku kukiwa na uwezekano wa kuongezeka hadi kufikia Sh40 bilioni na Dola…

Read More