Serikali yaja na mwarobaini kuporomoka majengo

Dodoma. Wizara ya Ujenzi imewasilisha bajeti yake kwa mwaka 2025/26 huku ikisema kutokana na kuporomoka kwa jengo la ghorofa nne Kariakoo jijini Dar es Salaam inatunga sheria ya majengo kwa ajili ya kusimamia sekta ndogo ya majengo nchini. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameyasema hayo leo Jumatatu Mei 5, 2025 wakati akiwasilisha makadirio ya mapato…

Read More

Nyota Tanzania Prisons wapata ahueni

TANZANIA Prisons kukaa nafasi ya 11 katika Msimamo wa Ligi Kuu ikiwa imecheza mechi 28, imeshinda nane, sare sita, imefungwa 14 na kukusanya pointi 30 ni kicheko kwa wachezaji wa timu hiyo wakiamini kwamba wamepata ahueni. Kipa wa timu hiyo, Mussa Mbisa amesema walikuwa wanaishi kwa presha kubwa na kuumiza vichwa namna ya kuhakikisha timu…

Read More

Mgeja Amvaa Polepole: Amtaja Kama Kunguru Asiyefugika

*Asema Polepole ni sawa na Kunguru hafugiki,ni wa kumuogopa kama Ukoma *Asisitiza atakuwa na ajenda ya siri na hayuko peke yake,yuko na wenzake Na Mwandishi Wetu KADA wa Chama Cha Mapinduzi ambaye amewahi pia kushika nafasi mbalimbali ndani ya Chama hicho Hamis Mgeja ameamua kumtolea uvivu Balozi Humphrey Polepole na kumfananisha na kunguru asiyefugika na…

Read More

SAMIA: CCM ITALETA WAGOMBEA WANAOKUBALIKA

-Mwenyekiti wa CCM aahidi mchujo wa haki kwa wagombea 2025-Mawazo ya wananchi kuzingatiwa ili kuimarisha ushindi kwa chama Dodoma, tarehe 5 Februari 2025 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa CCM italeta wagombea wanaokubalika na wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, ili…

Read More

JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA (TEF) KUFANYA MKUTANO MAALUMU KUELEKEA UCHAGUZI WA VIONGOZI APRILI 5, 2025 SONGEA

 Jukwaa la Wahariri Tanzania linatarajia kufanya mkutano mkuu maalumu kuelekea uchaguzi wa viongozi wa jukwaa hilo mnamo Aprili 5, 2025, mjini Songea. Mkutano huu utakuwa muhimu kwa ajili ya uchaguzi wa viongozi wa jukwaa na pia ni sehemu ya mchakato wa kukuza na kuimarisha taaluma ya uandishi wa habari nchini Tanzania. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

Kilio cha wazazi vyoo kuwa mbali na shule

Dar es Salaam. Wazazi wa wanafunzi wanaosoma Shule ya Msingi Tabata, wilayani Ilala, jijini Dar es Saalam wameonesha wasiwasi kuhusu usalama wa watoto wao wanaolazimika kuvuka barabara kufuata huduma ya vyoo. Wanafunzi hulazimika kutembea umbali wa takribani mita 30 kufuata vyoo vilivyo nje ya eneo la shule, wakivuka barabara katika Mtaa wa Tabata Shule. Barabara…

Read More

Wakili waliotumwa na afande ahoji walipo watuhumiwa wawili

Dodoma. Wakili wa kesi ya rufaa iliyokatwa na  Nyundo na wenzake, kupinga adhabu ya kifungo cha maisha gerezani, Godfrey Wasonga ameihoji Mahakama walipo watuhumiwa wawili waliotajwa na shahidi wa tatu (mwathirika) kwenye kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile Binti Mkazi wa Yombo Dovya Dar es salaam kwani ushahidi wa binti huyo…

Read More

Rais Samia ampa agizo Waziri Bashe kuhusu wakulima wa kahawa

Peramiho. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemtaka Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuchunguza madai ya wakulima wa kahawa kukatwa fedha kinyemela na vyama vikuu vya ushirika. Amesema anatambua kuwepo kwa malalamiko hayo yaliyosababishwa na ongezeko la bei ya kahawa mwaka huu. Rais Samia amesema hayo leo Jumanne, Septemba 24, 2024 alipozungumza na wafanyakazi na…

Read More