Mtego wa ACT Wazalendo kuvuna wanaotemwa CCM

Dar es Salaam. Nyuma ya hatua ya kusogezwa mbele mara kwa mara kwa mchakato wa uchukuaji na urejeshaji fomu katika Chama cha ACT Wazalendo yamejificha mengi, wachambuzi wa siasa wanaeleza. Kwa mujibu wa wachambuzi hao, ni mbinu ya kawaida kwa vyama vya upinzani, kuweka mitego ya kuwanasa wanasiasa mashuhuri watakaotengwa na vyama vyao katika michakato…

Read More

Mkurugenzi ulinzi wa viongozi Marekani ajiuzulu sakata la Trump kupigwa risasi

Washington. Kufuatia jaribio la kumuua Rais wa zamani Donald Trump Julai 14, 2024, Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Ulinzi wa Viongozi (Secret Service) Marekani, Kimberly Cheatle, amejiuzulu huku uchunguzi ukiendelea kuhusu upungufu wa kiusalama uliojitokeza kwenye tukio hilo. Katika tukio hilo, Thomas Matthew Crooks (20) alimfyatulia risasi Trump ambaye sasa ni mgombea urais wa…

Read More

MERIDIANBET YAPELEKA TABASAMU KIGAMBONI SIKU YA KINA MAMA

KAMPUNI ya Meridianbet imefanikiwa kupeleka tabasamu Kigamboni eneo linalofahamika kama mji mwema, Kwani wataalamu hao wa michezo ya kubashiri wamefika kwenye Zahanati inayopatikana eneo hilo na kutoa msaada kwenye siku ya kina Mama duniani. Katika kuhakikisha wanaonesha kuuthamini mchango wa mwanamke katika jamii walifika katika Zahanati hiyo na kutoa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo chakula,…

Read More

Absa Bank Tanzania yakabidhi Subaru Forester ya kwanza, huku ikichezesha droo ya mshindi wa pili ya Kampeni ya ‘Spend & Win’

  Mshindi wa kwanza wa kampeni ya Tumia na Ushinde ‘Spend & Win’ ya Benki ya Absa Tanzania, Bw. Rashidi Saidi (kulia) akionesha ufunguo wa gari jipya aina ya Subaru Forester 2024, muda mfupi baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Bw. Obedi Laiser (katikati), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo….

Read More

Wafungwa wapiga kura Afrika Kusini

Afrika Kusini. Wakati wananchi wa Afrika Kusini wakipiga kura leo Mei 29, 2024, wafungwa katika gereza la Pollsmoor la Cape Town nao wamepiga kura kwa mujibu wa taarifa za serikali. Chini ya Kifungu cha 24B cha Sheria ya Uchaguzi, wafungwa nchini Afrika Kusini wanaruhusiwa kupiga kura katika wilaya wanazoshikiliwa. Gereza la Pollsmoor lina umuhimu wa…

Read More

BoT kutoa elimu ya fedha shuleni

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Benki Kuu ya Tanzania(BoT) imedhamiria kutoa elimu ya fedha kuanzia ngazi ya elimu msingi hadi vyuo vikuu kuwawezesha vijana kuwa na uwezo wa nidhamu ya kusimamia fedha. Hayo amesemwa leo Aprili 17, 2024 jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga wakati…

Read More

Nyota JKT afichua balaa la Aucho Yanga

Nyota wa JKT Tanzania, Hassan Kapalata amesema haikuwa rahisi kupambana na kiungo wa Yanga, Khalid Aucho katika mchezo wa Ligi Kuu Bara baina ya timu hizo uliopigwa juzi kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kumalizika kwa suluhu. Akizungumza na Mwanaspoti, Kapalata alisema ubora mkubwa kwa Yanga uko kwenye eneo la kiungo na Aucho ndiye…

Read More

Trump, Ukraine, matumizi ya ulinzi – DW – 01.01.2025

Katibu Mkuu wa NATO, Mark Rutte, aliweka vipaumbele vya muungano huo kwa mwaka 2025 katika hotuba ya kutisha akionyesha jinsi vita vilivyo karibu sana na mlango wa muungano huo wa kijeshi. “Kutoka Brussels, inachukua siku moja tu kuendesha gari kufika Ukraine,” alisema katika hotuba ya Desemba katika taasisi ya Carnegie Europe. “Huko ndiko mabomu ya…

Read More