MZEE WA MIAKA 62 AFUNGWA JELA MAISHA KWA KULAWITI

Mahakama ya hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi imemuhukumu Mohamed Said Selemani mwenye umri wa miaka 62 mkazi wa kijiji cha Ng’apa wilaya ya Lindi, kwenda jela kutumikia kifungo cha maisha na kumlipa muhanga fidia ya shilingi 1,000,000 kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 4 jinsia ya kiume. Mtuhumiwa alitenda kosa hilo Aprili 22,2024 huko…

Read More

Uamuzi mgumu ulivyobadili upepo Yanga

YANGA ndio mabingwa tena. Imebeba taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo, ikiendeleza ubabe wake kwenye safari iliyokuwa na mabonde na milima. Yanga imelichukua taji hilo ikiwa na sura fulani tofauti na misimu miwili iliyopita, ikitoka kupitia mabadiliko mbalimbali kwa maana ya namna ya ilivyoanza msimu huu wa 2023/24 na hata muundo wa timu yao….

Read More

UVCCM wataka mtandao wa X ‘ufungiwe’

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida ameiomba Serikali kuchunguza maudhui yaliyomo katika Mtandao wa X (zamani Twitter) kwa kile alichodai kuwa yanakwenda kinyume na mila na desturi za Watanzania. Hivi karibuni mtandao huo ulitangaza kuwa kuanzia sasa umeruhusu rasmi watu kuonyesha na kuweka maudhui…

Read More

Maagizo ya Rais Mwinyi kwa mabalozi waliokwenda kumuaga

Dar es Salaam. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewasisitiza mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa ya nje kuzingatia diplomasia ya uchumi na fursa za uwekezaji zilizopo. Rais Mwinyi amesema hayo leo Aprili 16, 2025 Ikulu, Zanzibar alipozungumza na mabalozi wa Tanzania katika mataifa ya Rwanda, Zimbabwe, Sweden na Msumbiji waliokwenda kumuaga kabla ya kwenda kwenye…

Read More

Mgambo apigwa na wamachinga, akimbilia kanisani

Mwanza. Askari anayedaiwa kuwa wa Jeshi la Akiba maarufu mgambo ambaye jina lake halikupatikana amekimbilia kanisani kunusuru maisha yake baada ya kushambuliwa na wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga. Tukio hilo limetokea leo Jumatano Julai 10, 2024, eneo la Soko la Buhongwa jijini Mwanza, wakati mgambo hao walipochukua matunda ya Wamachinga wanaofanya biashara eneo hilo. Katika eneo…

Read More

WATAALAMU WA BAJETI NCHINI WATAKIWA KUBADILI MWELEKEO WA UTENDAJI KATIKA USIMAMIZI WA MIPANGO NA BAJETI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma   Wataalamu wa bajeti  Nchini kubadili mwelekeo wa utendaji wao katika usimamizi wa mipango na bajeti za serikali, akisisitiza kuwa wao ndio nguzo kuu ya mafanikio au changamoto katika utekelezaji wa bajeti. Akizungumza leo Agosti 18,2025 jijini Ddooma wakati wa  kikao kazi cha tathmini ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2024/25…

Read More