Tuzo za TFF 2024 zawagawa wadau

SIKU chache tangu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) litangaze tuzo za soka kwa msimu wa 2023-2024 zitatolewa wakati ya Ngao ya Jamii ya uzinduzi wa msimu wa 2024-2025, wadau wameibuka wakionekana kuwaganyika juu ya uamuzi huo. Taarifa ya TFF kuhusu tuzo hizo kusogezwa mbele ilieleza sababu kubwa ni kuziboresha zaidi tofauti na misimu iliyopita japo…

Read More

Vincent Kompany kumsaka nyota wa Uingereza.

Vincent Kompany anamtaka nyota wa Ligi Kuu ya Uingereza pauni milioni 35 kama uhamisho wa kwanza wa Bayern Munich Bayern Munich wanamfuatilia nyota wa Arsenal Oleksandr Zinchenko, ambaye anaweza kuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Vincent Kompany kama meneja wao mpya. Kocha wa zamani wa Burnley Kompany aliwasilishwa kwa vyombo vya habari siku ya Alhamisi…

Read More

Buku 5 tu kunawaona Aziz KI, Fei Toto

MASHABIKI wa soka visiwani Zanzibar wana kiu ya kuona udambwidambwi wa Stephane Aziz KI, Pacome Zouzoua na Yao Kouassi wa Yanga pamoja na mziki mnene wa vijana wa Azam FC wanaoongozwa na Feisal Salum, Kipre Junior, Abdul Suleiman na Gjibiril Sillah. Katika kuhakikisha wanapata burudani ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Yanga…

Read More

WAZIRI MKUU AVUTIWA NA UBUNIFU UDOM

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, akieleza jambo wakati wa akiwa kwenye Banda la Chuo Kikuu cha Dodoma, wakati wa kufunga maadhimisho ya Wiki ya Elimu yaliyofanyika mkoani Tanga. ……. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, amevutiwa na ubunifu uliofanywa na Chuo Kikuu…

Read More

Mustakabali wa Anthony Martial. – Millard Ayo

Anthony Martial anakaribia kukabidhiwa maisha ya soka akiwa na vilabu vitatu vinavyotaka kumsajili mshambuliaji anayeondoka Man United. Anthony Martial ametangaza kuondoka Man United na fowadi huyo wa Ufaransa anaonekana kuwa na chaguo kadhaa linapokuja suala la klabu yake ijayo. Martial aliingia kwenye mtandao wa kijamii mapema wiki hii kuthibitisha kwamba ataondoka Old Trafford, na hivyo…

Read More

Rais wangu mama Samia; Wananchi wa Igoma watendewe haki

RAIS wangu mama Samia, wananchi wa eneo la Igoma Truck Terminal, mtaa wa Mwembeni, kata ya Igoma jijini Mwanza, wanateseka kwa sababu ya watendaji wako. Wamezibiwa barabara ya kupita na wawekezaji wa kiwanja namba 109 kitalu B. Anaandika Leonard Manyama… (endelea). Kiwanja hiki ni mali ya halmashauri ya jiji la Mwanza ambacho awali kilibaki bila…

Read More

WALIOSHINDA SHINDANO LA WAUZAJI BORA VILAINISHI VYA ORYX WAKABIDHIWA TIKETI KWENDA DUBAI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Na Mwandishi Wetu   KAMPUNI ya Oryx Services and Specialties Ltd iliyoendesha shindano la wauzaji (mawakala) bora wa vilainishi vya Oryx Energies kati ya Maduka ya Oryx na wasambazaji wa Vilainishi vya Oryx leo Mei 31,2024 imekabidhi tiketi kwa washindi wa shindano hao ambao watakwenda Dubai na gharama zote zitagharamiwa na Kampuni hiyo.   Shindano…

Read More