


Kiungo Simba Queens atambulishwa Burundi
BAADA ya kupewa mkono wa kwaheri na Fountain Gate Princess siku nne zilizopita hatimaye kiungo wa zamani wa Simba, Joelle Bukuru amejumuishwa kwenye kikosi cha PVP Buyenzi ya Burundi. Simba Queens ilimtoa kwa mkopo wa miezi sita kiungo huyo kwenda Fountain katika dirisha dogo la usajili msimu uliopita baada ya kocha kutokuwa na mpango na…

Aucho, Dube mambo magumu, Diarra kicheko
Kuanzia Jumatano, Machi 19, 2025 hadi jana Alhamisi, nyota nane (8) wanaocheza timu tofauti za Ligi Kuu Tanzania Bara wamekuwa wakizitumikia timu zao za taifa zinazoshiriki mashindano ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026. Katika mechi zao hizo baadhi zimepata matokeo mazuri, nyingine zimeondoka na pointi moja moja na kuna zilizoangusha pointi zote…

Mpango wowote wa amani lazima uheshimu uhuru wa kitaifa, mjumbe wa UN anasema – maswala ya ulimwengu
Katika mahojiano ya kipekee na Un neHuduma ya Kiarabu ya WS huko New York, Ramtane Lamamra alisisitiza kwamba suluhisho lazima iwe ya kisiasa, ikitaka kutegemea hekima na uwezo wa kukabiliana na sababu za mizizi zilizosababisha mzozo wa kikatili. Alithibitisha kwamba watu wa Sudan ni huru na wanasema mwisho katika siku zao za usoni. Hali inayozidi…

Mpina amshukuru Samia kumwondoa Makamba Nishati
Dodoma. Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumwondoa aliyekuwa Waziri wa Nishati, January Makamba na kuibadilisha Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Mpina ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 25, 2024 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2024/25. Amempongeza Naibu…

WADAU WA KISEKTA WATAKIWA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MVUA ZA MSIMU 2024/25
MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari amewataka wadau kutoka sekta mbalimbali kukabialiana na athari zitakazoweza kujitokeza pamoja na kuchukua hatua stahiki wakati wa mvua za msimu zinatotarijwa kuanza mwezi Novembea 2024 hadi Aprili 2025 kwa maeneo yanayopata mvua mara moja kwa mwaka hapa nchini. Alizungumza hayo…

Yanga yapewa Warundi, Simba yala shushu…, Coastal, Azam FC ngoma nzito, JKU Mmh
WAKATI Simba ikila shushu hadi raundi ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, ikisubiri mshindi kati ya Uhamiaji ya Zanzibar na wawakilishi wa Libya, wababe wa soka nchini, Yanga wamepewa Vital’O ya Burundi katika mechi za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Vigogo hivyo vimejua wapinzani watakaokutana nao katika msimu mpya…

Polisi watakiwa kutumia busara, ulinzi shirikishi kuelekea uchaguzi mkuu
Geita. Jeshi la Polisi nchini limewataka askari polisi wote wa ngazi ya kata nchini kutumia sheria, busara pamoja na mbinu ya ulinzi shirikishi katika kubaini na kuzuia vitendo vya uhalifu kabla ya kutokea katika kipindi cha uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza na askari kata wa Wilaya ya Geita, Aprili 3, 2025 katika kikao cha pamoja kilicholenga…

Hapi atupa kijembe wapinzani waache kulalama, visingizio
Babati. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Ally Hapi amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kutolalamika kwa watu na kutoa visingizio kuwa wanataka Katiba mpya na Tume mpya ya uchaguzi ili hali watu hawawezi kula hayo wanahitaji maendeleo. Hapi amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kutoogopa kushiriki uchaguzi, akisisitiza kuwa kazi kubwa zilizotekelezwa na…

Mbunge CCM ahoji matumizi ya nguvu kusaka watumiaji wa mkaa, Serikali yamjibu
Dodoma. Mbunge wa Kibamba (CCM), Issa Mtemvu amesema ingawa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ni wa miaka 10, lakini sasa kumekuwa na utumiaji wa nguvu za kutafuta Mtanzania mmoja mmoja anayetumia mkaa katika makazi yao. Akiuliza swali bungeni leo Alhamisi Septemba 5, 2024, Mtemvu amesema mkakati huo ni wa miaka…