Mbaroni akidaiwa kumuua mumewe  akishirikiana na hawara

Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanamke mmoja na mtu mwingine anayedaiwa ni hawara yake kwa tuhuma za mauaji ya mme wa mwanamke huyo kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi. Watuhumiwa hao ambao majina yao hayajatajwa wanadaiwa kumuua Victor Mwakapenda (41), mkazi wa mtaa wa Ilembo, Mbozi mkoani humo. Kamanda wa Polisi mkoani…

Read More

ELIMU YA FEDHA YAWAFIKIA WALIMU BIHARAMULO

  Afisa Usimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha Bi. Mary Mihigo akielezea umuhimu wa kuweka akiba kwa Walimu wa Wilaya ya Biharamulo wakati wa semina iliyofanyika katika Ukumbi wa St. Clara wilayani Biharamulo mkoani Kagera. Afisa Usimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha Bw….

Read More

Unachopaswa kukijua kuhusu mzio

LEO nitafafanua tatizo la mzio ambalo wengi hulifahamu kwa jina la ‘aleji’ (allergy). Hili tatizo husumbua sana baadhi ya watu. Mzio au magonjwa ya mzio, ni hali mbalimbali zinazosababishwa na mnyumbuliko usio na kifani wakati seli za mwili wako unapokataa kitu ambacho kwa mtu wa kawiada hakina madhara. Mzio hujitokeza kwa alama /dalili mbalimbali na…

Read More

Mbaroni akidaiwa kumuua mumewe  akishirikiana na hawala

Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanamke mmoja na mtu mwingine anayedaiwa ni hawala yake kwa tuhuma za mauaji ya mme wa mwanamke huyo kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi. Watuhumiwa hao ambao majina yao hayajatajwa wanadaiwa kumuua Victor Mwakapenda (41), mkazi wa mtaa wa Ilembo, Mbozi mkoani humo. Kamanda wa Polisi mkoani…

Read More

TCAA yakabidhi vifaa kwa shule ya msingi Mnete-Mtwara

Mamlaka ya Usafiri wa Anga TCAA imekabidhi vifaa vya shule na vya ofisi katika Shule ya Msingi Mnete iliyopo mkoani Mtwara ikiwa ni msaada kwa jamii. Akizungumza wakati wa kupokea vifaa hivyo vyenye thamani ya Milioni Kumi (10) Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Mwanahamisi A. Munkunda ameishukuru TCAA kwa kuona hitaji na kuchukua hatua…

Read More

Makonda kumtesa Samia kama ilivyokuwa Mwinyi na Mrema

RAIS Samia Suluhu Hassan, yuko hatarini kutumbukia katika shimo alilopitia aliyekuwa rais wa pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi. MwanaHALISI limeelezwa. Anaripoti Saleh Mohammed … (endelea). Kiongozi huyo wa nchi aweza kutumbukia shimoni, ikiwa ataendelea kunyamazia; na au kubariki, hatua ya mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda, kutumia shida za…

Read More