Wachungaji wanaotumia sauti kubwa kuhubiri hatarini

Dar es Salaam. Baadhi ya wahubiri wanapotekeleza majukumu yao ya kuhubiri neno la dini wamekuwa wakibadili sauti, huku wengine wakitumia nguvu kuzungumza. Watumishi hao wa Mungu hufanya hivyo kwa muda mrefu pasipo kujua iwapo kuna athari za kiafya wanazoweza kupata. Daktari bingwa wa koo katika Hospitali ya St Bernard, Daniel Massawe, anasema kubadilisha sauti kwa…

Read More

Rekodi ya Aisha Masaka pasua kichwa WPL

IMEPITA miaka minne sasa bila rekodi ya Aisha Masaka aliyetimkia Brighton & Hove Albion kuvunjwa katika Ligi Kuu Wanawake ya kufunga mabao mengi. Msimu 2020/21 Masaka aliibuka mfungaji bora wa WPL akiweka kambani mabao 35 akiwa mzawa wa mwisho kufunga mabao hayo. Tangu hapo msimu uliofuata Mrundi wa Simba Queens, Asha Djafar alifunga mabao 27,…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI YA KWANZA TUMBATU IKIWA NI SHAMRASHAMRA ZA MIAKA 61 YA MAPINDUZI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika tabasamu wakati akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu Zanzibar Mhe. Haji Omar Kheri, wakati akielekea katika eneo la ufunguzi wa Skuli ya Sekondari Tumbatu, ufunguzi wa Skuli hiyo uliofanyika leo 4-1-2025, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61…

Read More

Josiah anazitaka nne ngumu Tanzania Prisons

USHINDI katika mechi nne mfululizo umeonekana kuipa nguvu Tanzania Prisons, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah akiamini mechi mbili zilizobaki dhidi ya Yanga na Singida Black Stars atapata pointi nne anazozitaka ili timu iwe salama. Ushindi wa pointi nne ambazo zinaonekana kuwa ngumu utakinasua moja kwa moja kikosi hicho na janga la kushuka…

Read More

Wanne wadakwa kwa kusafirisha punda 46 nje ya nchi

Jeshi la Polisi kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi Wilaya ya Longido mkoa wa Arusha limewakamata watuhumiwa wanne pamoja na mifugo aina ya punda 46 wakisafirishwa kinyume na taratibu kwenda nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa leo Jumamosi na Kamanda wa…

Read More

Mfaransa: Kwa Ahoua mtajuta | Mwanaspoti

KIUNGO mpya wa Simba, Jean Ahoua ameanza balaa huko Misri akipiga bao mbili kwenye mchezo wa kwanza wa kirafiki wa wekundu hao, na kocha mmoja Mfaransa akatuma salamu kwa wapinzani. Kocha Julien Chevalier wa Asec ambaye ni wapinzani wakubwa wa Stella d’Adjame aliyotokea Ahoua ameliambia Mwanaspoti kuwa kiungo huyo jina lake litaimbwa sana na mashabiki…

Read More

Rais Biden agoma kujitoa uchaguzi Novemba, aangukia pua kura za maoni

RAIS wa Marekani, Joe Biden amekataa kujitoa kwenye uchaguzi wa Novemba, wakati kukiwa na shinikizo kumtaka ajitoe kwenye kinyang’anyiro hicho baada ya kushindwa kwenye mdahalo wake na Donald Trump wiki iliyopita. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Msemaji wake, Karine Jean-Pierre, amekanusha kuwa Biden alimuambia mmoja wa washirika wake wa karibu kwamba uwezekano wa yeye…

Read More

Netanyahu awa mbogo mahakamani, tuhuma za rushwa zamtafuna

Mwanza. Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amepanda kwa mara nyingine kizimbani katika mahakama mjini Tel Aviv nchini humo kujibu mashtaka ya muda mrefu ya rushwa yanayomkabili. Mashtaka yanayomkabili Netanyahu, ni mwendelezo wa majanga dhidi ya waziri mkuu huyo ambaye hivi karibuni, majaji katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), walitoa hati maalumu ya kukamatwa…

Read More