
MISA TAN YATOA TUZO KWA RAIS SAMIA KULINDA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) , Wakili James Marenga (kulia) akikabidhi tuzo ya kufanikisha kulinda Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini Tanzania kwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan- Picha na Kadama Malunde – Malunde…