Ubomoaji holela Kariakoo unavyoathiri kiafya wananchi

Dar es Salaam. Wakati ubomoaji usiofuata sheria ukikoleza hatari za kiusalama katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam, afya za wananchi wanaofanya shughuli zao au kwenda maeneo hayo nazo ziko shakani. Kutokana na mazingira ya eneo la Kariakoo lenye maghorofa kila mtaa, wakati wa ubomoaji wa majengo yaliyopo katikati, inakuwa ngumu linaloathiri afya za wananchi….

Read More

OUT YAENDESHA MAFUNZO YA UFUATILIAJI NA TATHMINI KWA MAAFISA MIPANGO, WACHUMI NA WATAKWIMU SERIKALINI

Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimepongezwa kwa kutoa mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini kwa maafisa wanaoshughulikia vitengo husika kwenye majiji, manispaa na halmashauri za Tanzania Bara kwani yanawajengea uwezo watumishi hao katika utekelezaji wa majukumu yao. Vitengo hivi ni vipya hivyo mafunzo haya yanakwenda kuimarisha utawala bora kwenye maeneo husika na kusaidia kupanga vipaumbele…

Read More

Mdahalo mzito wanaotaka kuongoza Jumuiya ya wafanyabiashara wa kariakoo

Leo kumekuwa na mdahalo wa wgombea wa uongozi wa wafanyabiashara wa soko la kimataifa Karia koo ambao wagombea wanafasi ya kuanzia mwenyekiti mpaka mtumza fedha wa jumuiya ya wafanyabiashara hao walifika mbele ya wafanyabiashara kunadi hoja zao watakazoenda kutekeleza endapo wakipewa nafasi ya kuongoza katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi tarehe 20. Itakumbukwa kwa mwaka huu…

Read More

Watano wafariki dunia Russia, Ukraine zikikoleza vita

Kiev. Takriban watu watano wamefariki dunia katika majibizano ya makombora kati ya vikosi vya Russia na Ukraine, Ijumaa Januari 3, 2025. Miongoni mwa mashambulizi yaliyosababisha vifo hivyo ni shambulizi la kombora la Russia katika Jiji la Chernigiv nchini Ukraine. Tovuti ya The Guardian imeripoti kuwa kombora hilo lilirushwa na kupiga eneo la makazi na kusababisha…

Read More

TWFA Mwanza yapata mabosi wapya

SOPHIA Tigalyoma amechaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Chama cha Soka la Wanawake (TWFA) Mkoa wa Mwanza akimbwaga aliyekuwa mtetezi wa kiti hicho Sophia Makilagi. Tigalyoma amerejea kwenye nafasi hiyo tena baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi huo uliofanyikwa leo Jumamosi kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia saa 4:00 hadi 4:50 asubuhi kwa…

Read More

Rais Georgia agoma kung’oka ikulu, mrithi wake aapishwa

Georgia. Mikheil Kavelashvili ambaye ni Rais mteule wa Georgia ameapishwa leo kuanza kulitumikia taifa hilo huku mtangulizi wake akigoma kutoka Ikulu ya taifa hilo. Mikheil ameapishwa jana Jumapili Desemba 29, 2024, katika viwanja vya Bunge la taifa hilo Jijini Tbilisi, huku waandamanaji wanaomuunga mkono Rais anayemaliza muda wake, Salome Zourabichvili wakifurika mitaani. Wakati Mikheil akiapishwa,…

Read More

Kilio cha watumiaji barabara ya Kilwa, Serikali yatoa kauli

Dar es Salaam. Ikiwa imepita miezi mitano tangu kusainiwa kwa mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kilwa, kipande kutoka Mbagala hadi Kongowe, watumiaji wa barabara hiyo wamelalamikia adha wanayokutana nayo, kwa kile wanachoeleza kuwa imeelemewa na wingi wa magari kuliko uwezo wake. Machi 19, 2025, Wakala ya Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Dar es Salaam…

Read More

MBINU SHIRIKISHI NI MUHIMU KUHAKIKISHA WATU WENYE ULEMAVU WANAJUMUISHWA KATIKA NYANJA ZOTE– MHE. NDERIANANGA

NA. MWANDISHI WETU BERLIN – UJERUMANI Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, na Uratibu, Mheshimiwa Ummy Nderiananga amesema ni muhimu kuwa na mbinu shirikishi ili kuhakikisha watu wenye ulemavu wanajumuishwa kikamilifu katika juhudi za maendeleo kitaifa na kimataifa. Mhe. Ummy amesema hayo aliposhiriki katika mjadala wa: Kuelekea Hatua Jumuishi…

Read More