Makamu wa Rais mgeni rasmi kongamano Dira ya Maendeleo

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa kongamano la Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 litakalofanyika Juni 8,2024 kwenye ukumbi wa Nkurumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 4, 2024 jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais,…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: KenGold kipa wanaye, bora anajipambania

KIPA wa Kengold, Castor Mhagama ametuthibitishia hapa kijiweni ule usemi wa Mungu hakupi vyote au Mungu akikupa kilema, basi anakupa mwendo. Jamaa anaonyesha kiwango kizuri sana anapokuwa uwanjani japo timu yake kiujumla inamuangusha kutokana na wachezaji wake wengine kushindwa kucheza vizuri katika mechi zao. Unaweza usiamini ukihadithiwa ubora wa Mhagama ikiwa utaangalia msimamo wa ligi…

Read More

UMEMWONA? Mjeshi wako Euro 2024

MUNICH, UJERUMANI: MIKIKIMIKIKI ya fainali za Euro 2024 muda uliobaki kwa michuano hiyo kuanza hata wiki haifiki, huku macho na masikio ya wapenda soka duniani yataelekezwa kwa mataifa 24 yakayoonyeshana ubavu kwenye vita hiyo ya kusaka ubingwa wa Ulaya. Kila nchi shiriki inahitajika kuwa na wachezaji 26  huku watatu kwenye kila kikosi wakiwa makipa. Utepe…

Read More

Metacha atua rasmi  Singida Black Stars

DILI limetiki. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mabosi wa Singida Black Stars (zamani Ihefu) Uongozi wa Ihefu, umemalizana na kipa Metacha Mnata aliyekuwa Yanga na muda wowote kuanzia sasa inatarajia kumtambulisha rasmi. Kipa huyo wa zamani wa  Azam, Mbao na Singida Big Stars, alikuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kilichotetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara…

Read More

AFISA MTENDAJI MKUU WA TPL AFUNGUA SEMINA YA WARATIBU WA MICHEZO KWA MAANDALIZI YA MSIMU MPYA 2024/2025 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Leo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, Almasi Kasongo, ameongoza ufunguzi wa semina muhimu kwa waratibu wa michezo, inayofanyika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Semina hii ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mwaka 2024/2025. Katika semina hii, waratibu wa michezo watajadili…

Read More

Aziz KI: Ishu ya mkataba mpya nawaachia Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI amesema kuhusu suala la kuongeza mkataba mpya ishu hiyo anaichia timu hiyo ambayo ameitumikia kwa msimu wa pili. Aziz KI hadi sasa analingana mabao na Feisal Salum kwenye vita ya ufungaji katika Ligi Kuu Bara kila mmoja akiweka kambani mabao 18. Akizungumza baada ya timu hiyo kukabidhiwa Kombe la Ligi…

Read More