WANAWAKE TTCL WAWASAIDIA WATOTO WAGONJWA WA MOYO JKCI

Baadhi ya Wanawake wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wakiwa na Daktari Bingwa Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto – JKCI, Dk. Naizihijwa Majani (katikati) akipokea msaada huo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Kituo hicho. Baadhi ya Wanawake wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wakiwa na Daktari Bingwa Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto –…

Read More

Watu wa Sudan waliteswa na kuuawa katika ‘nyumba za kuchinjia’, uchunguzi wa haki unasema – maswala ya ulimwengu

Muda kidogo baada ya kuwasilisha ripoti iliyoamriwa kwa Baraza la Haki za Binadamu Huko Geneva Jumanne, Mwenyekiti wa Ujumbe wa Kutafuta Ukweli juu ya Sudan, Mohamed Chande Othman, alisisitiza kwamba Wanajeshi wote wa Jeshi la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) walikuwa wamefanya uhalifu wa ukatili. Kati ya ushuhuda uliokusanywa kwa ripoti…

Read More

Zamu ya Mtwara kampeni za Samia leo

Mtwara. Baada ya kufanya kampeni katika mikoa 13, mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuingia katika Mkoa wa Mtwara kunadi sera za chama hicho akiomba ridhaa ya kuchaguliwa tena kuwa Rais wa Tanzania. Tangu chama hicho kizindue kampeni zake za uchaguzi Agosti 28, 2025 jijini Dar es…

Read More

Askofu Mapunda asisitiza haki kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida, Edward Mapunda amewatahadharisha Watanzania kutorubuniwa kwa rushwa na kuomba haki itendeke kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29 mwaka huu wa kuchagua  Rais, Wabunge na Madiwani na kusisitiza atakayeshinda ashinde kwa haki. Hatua hiyo imetajwa ni kuhepusha  migogoro sambamba na kusisitiza  watakao shindwa wakubali  matokeo  ili kulinda amani ya…

Read More

Tumia mamlaka uliyopewa na Mungu kuyashinda magumu ya dunia

Bwana Yesu Asifiwe watu wa Mungu. Karibuni katika ujumbe wa neno la Mungu tuliopewa unaosema ‘Tumia mamlaka uliyopewa na Mungu kuyashinda magumu ya dunia’. Ni matumaini yangu ujumbe wa leo utabadilisha maisha yako, hutawaza kama mwanzo, hautateseka na mambo yanayoonekana yanakulete hofu katika maisha. Mungu akubariki na uweze kuelewa na kuchukua hatua. Katika maisha haya…

Read More

Profesa Kitila: Mimi ni mtumiaji mzuri Vodacom na Mwananchi

Waziri wa Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amesema anaziheshimu na kuzithamini kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa umuhimu wake kijamii na kitaifa.  Katika kuthibitisha hilo amesema yeye ni ni msomaji mzuri wa habari zinazotolewa na kampuni ya Mwananchi kila uchwao na pia ni mtumiaji wa Vodacom…

Read More