Aliyejaribu kujiua baada ya kumuua mkewe, ahukumiwa kifo

Arusha. Licha ya jaribio la kunywa sumu ya kuulia wadudu kwa lengo la kujiua baada ya kumuua mkewe, Rehema Daniel, kwa kumkata kwa panga, Peter Deus hakuweza kuukwepa mkono wa sheria. Baada ya sumu hiyo kuanza kumletea maumivu makali tumboni, alipiga simu polisi kuomba msaada. Tukio hilo lilitokea Septemba 24, 2023, katika Kijiji cha Njiapanda,…

Read More

Dk Migiro aeleza ahadi ya CCM kwa wananchi

Unguja. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dk Asha-Rose Migiro, amesema chama hicho kitaendelea kuonesha mshikamano wa kisiasa na kijamii kwa wananchi katika kusimamia utekelezaji wa sera na ilani zake ili kuimarisha maendeleo ya Taifa. Amesema hayo leo, Septemba 8, 2025 wakati akizungumza na wanachama na wapenzi wa CCM katika mapokezi ya kumkaribisha…

Read More

Je Unajua Meridianbet Kukupatia Mkwanja Leo?

MECHI kibao za mtoani wa Carabao Cup Uingereza (EFL) hatua ya mtoano zinaendelea huku wewe mteja wa Meridianbet ukiwa na nafasi ya kuibuka na mkwanja wa maana. Je pesa yako unaiweka kwa nani na nani wakupe ushindi leo? Unaweza ukabashiri mechi hii ya Reading FC dhidi ya AFC Wimbledon ambao hawa waote wanacheza ligi daraja…

Read More

Tabia ndogo za afya zinazoweza kuokoa maisha yako

Dar es Salaam. Kila mwaka duniani kote, mamilioni ya watu hufariki kutokana na magonjwa yasiyoambukiza kama vile shinikizo la damu, kisukari, magonjwa ya moyo na saratani. Shirika la Afya Duniani (WHO) linaeleza kuwa takribani watu milioni 41 hufariki kila mwaka kutokana na magonjwa haya, sawa na asilimia 74 ya vifo vyote duniani. Habari njema ni…

Read More

Profesa Mahalu aagwa Dar, wanazuoni wasema…

Dar es Salaam. Mwili wa mwanadiplomasia na mwanazuoni nguli, Profesa Costa Mahalu umeagwa jijini Dar es Salaam, huku wanazuoni na wanasiasa wakimtaja kuwa miongoni mwa viongozi waliopenda kuibua vipaji na kuendeleza vijana waliokuwa vyuoni. Mbali na hilo, wamesema Profesa Mahalu ambaye alikuwa Makamu mkuu wa Chuo Kikuu cha Mt Augustine (Saut) alikuwa mhamasishaji mnyenyekevu, mpenda…

Read More

Madaktari wataja njia rahisi ya kulinda figo

Dar es Salaam. Wakati kesho Alhamisi, Machi 12, 2026 ikiwa ni siku ya figo duniani, wataalamu wa afya nchini wameonya mtindo wa maisha unaohusisha matumizi makubwa ya soda, vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) na vilevi, huku watu wakipunguza unywaji wa maji ya kutosha, unaongeza hatari ya kupata magonjwa ya figo. Kwa mujibu wa wataalamu,…

Read More